Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Tuache usaliti.Just use your common sense and ask yourself the following question:-
Mbona Nyerere alikaa ikulu kwa miaka zaidi ya 20 lakini hakuwa na utajiri wa kiasi hicho?
kwahiyo kwasbabu nyerere alikaa ikulu miaka 20 akafa maskini basi nchi nzima iwe maskini sio?? wewe ndio mnafiki
BTW, uwe unaelewa nilichosema .... nimesema "cha maana aliupata kihalali" and that is where my argument stands
kama si halali basi ni sababu ya serikali zaiff kujua yupe anaihujumu nchi, hatujachelewa hatua stahiki zichukuliwe, kama aliupata kihalali basi ni mfano wa kuigwa
huwezi kulinganisha visivyolinganishwa, we have different purposes in life
napenda sana wanaotajirika, ila iwe kwa njia halali, sipendi sana umasikini wa kujitakia, tanzania ni tajiri
BABA YAKO AKIISHI MIAKA 70 MASKINI BASI NA WEWE LAZMA UWE KAMA YEYE??