Utajiri wa Daniel Yona unatisha!

Utajiri wa Daniel Yona unatisha!

hahaaa Habari ndo hiyo maujanja ni kuandamana kama waaarabu
 
Ebu ona maisha ya watoto wa walipa kodi wa nchi hii wakati watu wanakula nchi na kujenga mahekalu huko....
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1350142134.646318.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1350142134.646318.jpg
    19.6 KB · Views: 101
  • ImageUploadedByJamiiForums1350142157.774774.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1350142157.774774.jpg
    23.4 KB · Views: 98
  • ImageUploadedByJamiiForums1350142168.179401.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1350142168.179401.jpg
    14.5 KB · Views: 106
Kumiliki mijumba at his age, na vyeo alivyopitia mbona ni kitu rahisi sana? kulalamika sometimes kumezidi. mi ni kijana, niko kwenye ajira na kamshahara kangu wala sio kakubwa na sina rushwa lkn mdogomdogo najiandaa kupiga msingi wa nyumba ya 2. Sasa hivi kuna wajinga tayari wananiita fisadi mtoto bila kujua kamkopo kangu kamilion kumi ni tofali na cement ya nyumba nzima. nikifika umri wa Yona lzm niwe na nyumba atleast tano mjini. hayo ndo malengo yangu, wewe je? tutenganishe ufisadi na fursa, msomi kama Yona aliyeenda Uk na kina Mengi kupiga ACCA miaka hiyo na akaipata kabla ya kina Mengi bado unataka awe maskini? huo utakuwa upuuzi.
 

Hakuna biashara inalipa kwa sasa Tanzania kama kuwa mwanasiasa!

Kibanga Msese
 
Bado Account za Uswis! hahaaaaah kazi tunayo watanzania,Nchi hii chini ya Magamba itabaki mifupa!
 
Mzigo mmoja huu hapa. Upo Kawe

house_porch.jpg

Aliyeleta picha ya nyumba hii na wasiwasi nayo kwa sababu zifuatazo:
  • Mjengo wa nyuma hii ambayo inaokenaka kujengwa kwa miti (timber/lumber) na kufunikwa na sheet zilizotengenezwa mchanganyiko wa udongo, plastic na matakataka mengine unatia wasisi, ni nyumba za ulaya.
  • Mjengo huu ni wa nyumba za Ulaya au Marekani
  • Sehemu ya kuota moto ambayo ina chimn ni kwa miji kama ya Arusha au Mbeya, kwa Dar hakuhitaji sehemu ya kuweka mkaa wa kuota moto.
  • Mabomba ya kumwagilia bustani ukutani yanaashiria kila aina ya wafanyavyo nchi za magharibi
  • Nyumba imejengwa kuacha sehemu kubwa ya ardhi mbele kuwa bustani ya nyasi za kumwagiliwa, mtindo huu ni wa nyumba za ulaya na Marekani kwa vile hawana utaratibu wa kubakiza sehemu ya ardhi nyuma kama ilivyo waafrika kwa sababu huwa hawapandi food vegetation nyumbani mwao kama afrika. Hilo ni shaka moja wapo.
  • Miti iliyopo kando ya nyumba inaonyesha dhahiri ni miti ni natural vegetation or planted natural vegetation nchi za ulaya au Marekani.
  • Window shutters zinaonekana kuwa double zenye kuhimili kipindi cha baridi huko nchi za uyala na Marekani, nadra sana Dar es Salaam nyumba kama hii kuwa na double shutters kwenye madirisha kwa sababu hali ya hewa haihitaji hivyo.
  • Paa la nyumba hii imeezekwa na sheets zenye mchanganyiko wa saruji, mpira na dust nyingine jambo ambalo mtindo ma malighali za uezekaji wa aina hii haupo nchini isipokuwa nchi za Ulaya na Marekani Kaskazini.

Jambo moja muhimu tunapoleta vielelezo viakisi ukweli maana Watanzania sasa hivi wamezunguka dunia na kuijua ilivyo, ukileta kisicho kweli watakutolea nje.

Kama una hoja za kupinga vielelezo vyangu naomba vianike hapa ili kujenga hoja yako ya utetezi.
 
hiyo ni sehemu ndogo tu ya zile zilizoko uswizi.
 
Aliyeleta picha ya nyumba hii na wasiwasi nayo kwa sababu zifuatazo:
  • Mjengo wa nyuma hii ambayo inaokenaka kujengwa kwa miti (timber/lumber) na kufunikwa na sheet zilizotengenezwa mchanganyiko wa udongo, plastic na matakataka mengine unatia wasisi, ni nyumba za ulaya.
  • Mjengo huu ni wa nyumba za Ulaya au Marekani
  • Sehemu ya kuota moto ambayo ina chimn ni kwa miji kama ya Arusha au Mbeya, kwa Dar hakuhitaji sehemu ya kuweka mkaa wa kuota moto.
  • Mabomba ya kumwagilia bustani ukutani yanaashiria kila aina ya wafanyavyo nchi za magharibi
  • Nyumba imejengwa kuacha sehemu kubwa ya ardhi mbele kuwa bustani ya nyasi za kumwagiliwa, mtindo huu ni wa nyumba za ulaya na Marekani kwa vile hawana utaratibu wa kubakiza sehemu ya ardhi nyuma kama ilivyo waafrika kwa sababu huwa hawapandi food vegetation nyumbani mwao kama afrika. Hilo ni shaka moja wapo.
  • Miti iliyopo kando ya nyumba inaonyesha dhahiri ni miti ni natural vegetation or planted natural vegetation nchi za ulaya au Marekani.
  • Window shutters zinaonekana kuwa double zenye kuhimili kipindi cha baridi huko nchi za uyala na Marekani, nadra sana Dar es Salaam nyumba kama hii kuwa na double shutters kwenye madirisha kwa sababu hali ya hewa haihitaji hivyo.

Jambo moja muhimu tunapoleta vielelezo viakisi ukweli maana Watanzania sasa hivi wamezunguka dunia na kuijua ilivyo, ukileta kisicho kweli watakutolea nje.

Kama una hoja za kupinga vielelezo vyangu naomba vianike hapa ili kujenga hoja yako ya utetezi.

mkuu usituchekeshe. hii ni nyumba ya mabanzi haziswihi dar labda a town au mbeya na iringa.
 
ndugu ungetuwekea na mapicha hapa, pia kijana wake dani yona ana bonge ya kitu hapa tegeta line ya umeme wa kwenda zanzibar ni hotel siyo hivyo tu mali ni nyingi sana wanazo, wametuibia sana tena sana.
Ni watu ambao leo hii nchi hii ikichukuliwa na wenye uzalendo wa kweli hakika mafisadi watarudisha mali zetu zote walizotuibia wakati wako kwenye madarak. Pole ndugu ndo hali halisi ya mambo na watawala wa nchi yetu


funguka kwa picha mkuu
 
Kumiliki mijumba at his age, na vyeo alivyopitia mbona ni kitu rahisi sana? kulalamika sometimes kumezidi. mi ni kijana, niko kwenye ajira na kamshahara kangu wala sio kakubwa na sina rushwa lkn mdogomdogo najiandaa kupiga msingi wa nyumba ya 2. Sasa hivi kuna wajinga tayari wananiita fisadi mtoto bila kujua kamkopo kangu kamilion kumi ni tofali na cement ya nyumba nzima. nikifika umri wa Yona lzm niwe na nyumba atleast tano mjini. hayo ndo malengo yangu, wewe je? tutenganishe ufisadi na fursa, msomi kama Yona aliyeenda Uk na kina Mengi kupiga ACCA miaka hiyo na akaipata kabla ya kina Mengi bado unataka awe maskini? huo utakuwa upuuzi.


Lazima utakuwa mwizi tu huko ofisini kwako!!!!
 
Mwitongo

swali sio utajiri mkuu, UNATAKA KILA MTU AWE MASKINI???

Cha maana ni kujua aliupata kihalali??

Kulalamikia utajiri wa mtu bila kujua alipataje ni sawa na enzi zile kijijini mtu akiweka bati tu, basi lazma apigwe kipapai

Tuache usaliti.Just use your common sense and ask yourself the following question:-

Mbona Nyerere alikaa ikulu kwa miaka zaidi ya 20 lakini hakuwa na utajiri wa kiasi hicho?
 
Mzigo mmoja huu hapa. Upo Kawe

house_porch.jpg
kwa yona nadhani anadiserve kumiliki mali hizo kwani hata maslahi yake yalikuwa juu sana. kumbuka hata ukiwa mbunge tu na ukajipanga sawasawa kimsingi unakuwa umeuaga umaskini! wewe huoni maduka kama mariedo wamiki wake? cha msingi jitahidi upiganie madaraka nchi hii kuwin ni simple.
 
JF kuna waongo sana siku hizi,kule wameweka picha ya mmama wakasema ndo aliekuwa na mrehemu RPC Liberatus
 
Mafishadi hawaishi...................Hukulijua hilo? Ukistaajabu ya Musa utaona ya filauni. Fika na pale kakiwila kidogo..........
 
Back
Top Bottom