Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Nimekuwa mbagala leo tangu saa 12
asubuhi nikijaribu kustudy hii
situation,wakristo wamejazana hapa
tangu asubuhi,wakisali na kuwaombea
msamaha waislamu.msikiti upo
upande wa pili tu wa kanisa,wapo
vijana walitaka kwenda kulipua
mabomu ya chupa msikiti,ila wenzao
wamewazuia kuwa hiyo ni kinyume na
ukristo bali wasubiri mwongozo wa
viongozi wao na wamwombe kristu
awaongoze.Askofu malasusa(pichani)
amewaasa wakristu kuomba zaidi
wakati huu na kusubiri vyombo vya
dola kufanya kazi yake.wakristu wanalia
wakati wanasali.wananchi wanalaumu
polisi na wakristu wanawatuhumu
kwamba wanawalinda waislamu
waliotenda uovu kwani hawakufanya
kitu wakati kanisa linaharibiwa ,wao
makusudi walikuwa wakipiga watu
mitaani huku wakiacha kanisa
likiteketezwa,japo waliambiwa.mkuu
wa wilaya amefika sehemu hii saa 7
mchana.
Nimekuwa mtaani kwa watu wa
kawaida ambao siyo kanisani ili nisikie
zaidi mawazo yasiyo na jazba.ajabu ni
kuwa kumbe kilichokojolewa ni JUZUU
na siyo QURAN, na pili,imesemwa
kuwa mtoto anayesemwa siyo mkristo
bali ni mwislamu.nami naona huu ni
mkanganyiko wa leo
asubuhi nikijaribu kustudy hii
situation,wakristo wamejazana hapa
tangu asubuhi,wakisali na kuwaombea
msamaha waislamu.msikiti upo
upande wa pili tu wa kanisa,wapo
vijana walitaka kwenda kulipua
mabomu ya chupa msikiti,ila wenzao
wamewazuia kuwa hiyo ni kinyume na
ukristo bali wasubiri mwongozo wa
viongozi wao na wamwombe kristu
awaongoze.Askofu malasusa(pichani)
amewaasa wakristu kuomba zaidi
wakati huu na kusubiri vyombo vya
dola kufanya kazi yake.wakristu wanalia
wakati wanasali.wananchi wanalaumu
polisi na wakristu wanawatuhumu
kwamba wanawalinda waislamu
waliotenda uovu kwani hawakufanya
kitu wakati kanisa linaharibiwa ,wao
makusudi walikuwa wakipiga watu
mitaani huku wakiacha kanisa
likiteketezwa,japo waliambiwa.mkuu
wa wilaya amefika sehemu hii saa 7
mchana.
Nimekuwa mtaani kwa watu wa
kawaida ambao siyo kanisani ili nisikie
zaidi mawazo yasiyo na jazba.ajabu ni
kuwa kumbe kilichokojolewa ni JUZUU
na siyo QURAN, na pili,imesemwa
kuwa mtoto anayesemwa siyo mkristo
bali ni mwislamu.nami naona huu ni
mkanganyiko wa leo