angedizzle
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 590
- 502
..............ama kweli habari za tajiri muulize maskini,wekeni na za MY-GAL bac..........
ile kampuni yake na bwm inaitwaje?
Si nasikia walijiuzia ule mgodi kwa bei ya kutupwa???
Nazungumzia yule kibaka aliyetuibia kodi zetu na sasa mwenye 'kesi' (Ambayo kwa kweli ni dongo la macho kwa watanzania) na kibaka mwenzie Mramba. Natamani watu hawa waliotufikisha hapa wawajibishwe kwa kuikabili adhabu ya kupigwa risasi hadharani wao na wote waliotusababishia feddheha ya watoto wetu kukaa mavumbini na wengine kukosa dawa hospitalini.kuna daniel yona wawili, sr. na jr.
unajua mleta mada anamzungumzia yupi?
Nazungumzia yule kibaka aliyetuibia kodi zetu na sasa mwenye 'kesi' (Ambayo kwa kweli ni dongo la macho kwa watanzania) na kibaka mwenzie Mramba. Natamani watu hawa waliotufikisha hapa wawajibishwe kwa kuikabili adhabu ya kupigwa risasi hadharani wao na wote waliotusababishia feddheha ya watoto wetu kukaa mavumbini na wengine kukosa dawa hospitalini.
Ndugu zangu, juzi nimefika Makongo Juu. Nilionyeshwa mahekalu ya Daniel Yona hadi nikaogopa.
Amejitwalia eneo kubwa mno. Kajenga mahekalu mengi. Mengine anaishi, mengine amepangisha wazungu. Nikaambiwa mengine ni ya mkewe. Pia kuna shule ambazo ni mali yao. Utajiri huu jamani si wa kawaida.
Hivi kweli makabwela wa nchi hii watakubali wizi huu hadi lini? Anayetaka na afike eneo hilo ajionee haya ninayosema. Inakera sana, hasa wakati huu ambao watoto wetu hawana madawati, maabara wala mlo wa uhakika. Lazima tuchukue hatua za kurejesha mali hizi!
Nawasilisha
Ndugu zangu, juzi nimefika Makongo Juu. Nilionyeshwa mahekalu ya Daniel Yona hadi nikaogopa.
Amejitwalia eneo kubwa mno. Kajenga mahekalu mengi. Mengine anaishi, mengine amepangisha wazungu. Nikaambiwa mengine ni ya mkewe. Pia kuna shule ambazo ni mali yao. Utajiri huu jamani si wa kawaida.
Hivi kweli makabwela wa nchi hii watakubali wizi huu hadi lini? Anayetaka na afike eneo hilo ajionee haya ninayosema. Inakera sana, hasa wakati huu ambao watoto wetu hawana madawati, maabara wala mlo wa uhakika. Lazima tuchukue hatua za kurejesha mali hizi!
Nawasilisha
Kumiliki mijumba at his age, na vyeo alivyopitia mbona ni kitu rahisi sana? kulalamika sometimes kumezidi. mi ni kijana, niko kwenye ajira na kamshahara kangu wala sio kakubwa na sina rushwa lkn mdogomdogo najiandaa kupiga msingi wa nyumba ya 2. Sasa hivi kuna wajinga tayari wananiita fisadi mtoto bila kujua kamkopo kangu kamilion kumi ni tofali na cement ya nyumba nzima. nikifika umri wa Yona lzm niwe na nyumba atleast tano mjini. hayo ndo malengo yangu, wewe je? tutenganishe ufisadi na fursa, msomi kama Yona aliyeenda Uk na kina Mengi kupiga ACCA miaka hiyo na akaipata kabla ya kina Mengi bado unataka awe maskini? huo utakuwa upuuzi.
Ndugu zangu, juzi nimefika Makongo Juu. Nilionyeshwa mahekalu ya Daniel Yona hadi nikaogopa.
Amejitwalia eneo kubwa mno. Kajenga mahekalu mengi. Mengine anaishi, mengine amepangisha wazungu. Nikaambiwa mengine ni ya mkewe. Pia kuna shule ambazo ni mali yao. Utajiri huu jamani si wa kawaida.
Hivi kweli makabwela wa nchi hii watakubali wizi huu hadi lini? Anayetaka na afike eneo hilo ajionee haya ninayosema. Inakera sana, hasa wakati huu ambao watoto wetu hawana madawati, maabara wala mlo wa uhakika. Lazima tuchukue hatua za kurejesha mali hizi!
Nawasilisha
Kwa kuwa leo ni jumapili naomba niwajibu kama yesu na ambaye hajawahi kuiba katika maisha yake hata sh kumi au sh mia na awe wa kwanza kumsema yona
Pima hoja zangu kuhusu nyumba hii kwamba haijajengwa Dar ila imechukuliwa kutoka nyumba za ulaya au bara la Marekani kaskazini. Linganisheni na nyumba hapo chini utakuja kuona ukwlei wa hoja zangu. Ninachotaka tuweke picha ya ukweli badala ya kudanganya JF.
Nyumba hiyo hapo juu haijaezekwa kwa bati au vigai bali ni aina vulani ya plastic iliyochanganywa na saruji, mpira na takataka nyingine ni uezekaji maarufu katika nyumba nyingi za kawaida Ulaya Na Marekani. Uezekaji huu haupo kabisa Tanzania.
Hizi ni nyuma za ulaya au marekani ambazo mjengo wake unashabihiana na nyumba hiyo. Tukumbuke kuwa nyumba nyingi za Dar utakuwa milango na madirisha huwekwa nondo kujihadhari na wizi, hapo hakuna cha nondo. Mbaya zaidi window shutters kuwa double kitu ambacho hakipo kabisa hapa kwetu Tanzania kwa sababu window shutter huwa sehemu ya baridi kali, hata Marekani kusini hakuna double window shutter, utazikuta Canada na northern states kwa sababu ya baridi kuweza kuhifadhi zaidi joto. Nchi za ulaya kama Scandinavia bila double window shutters hitter haisaidii sana na zaidi utatumia zaidi utility na kushtukia bill ya kukukatisha tamaa kuilipa.
95% nyumba hiyo imeshukuliwa picha ya nyumba za ulaya na wala si nyumba anayotuambia ameijenga Yona. Kama anataka kutuhakikishia ukweli aipige picha nyumba hiyo kwa mbali kidogo ikionyesha madhari ya mazingira ya Dar es Salaam na nyumba za jirani la sivyo kauli yangu ina uzito stahiki.
Tuingie mtaa kesho then tuchukue nchi wazalendo na tutaifishe mali za mafisadiToa pendekezo nini kifanyike kama mahakama aiwezi kutenda haki kwenye hili.
Ndugu zangu, juzi nimefika Makongo Juu. Nilionyeshwa mahekalu ya Daniel Yona hadi nikaogopa.
Amejitwalia eneo kubwa mno. Kajenga mahekalu mengi. Mengine anaishi, mengine amepangisha wazungu. Nikaambiwa mengine ni ya mkewe. Pia kuna shule ambazo ni mali yao. Utajiri huu jamani si wa kawaida.
Hivi kweli makabwela wa nchi hii watakubali wizi huu hadi lini? Anayetaka na afike eneo hilo ajionee haya ninayosema. Inakera sana, hasa wakati huu ambao watoto wetu hawana madawati, maabara wala mlo wa uhakika. Lazima tuchukue hatua za kurejesha mali hizi!
Nawasilisha