Utahamia lini kijijini?

Una wafanyakazi wangapi ? Hakika maisha yako nimeyapenda hao kuku hswakutoi jasho aisee ?

Nunua gari dogo kama corolla uwe unatoka hata jumapili unaingia katika ya mji unakula bata alafu unarudi zako nyumbani
Nimependa sana aisee
I have got two guys but nilianza alone.
Town hapo ni dakika 20 tu kwq bajaji, use to take Bajaji
 
Una wafanyakazi wangapi ? Hakika maisha yako nimeyapenda hao kuku hswakutoi jasho aisee ?

Nunua gari dogo kama corolla uwe unatoka hata jumapili unaingia katika ya mji unakula bata alafu unarudi zako nyumbani
Nimependa sana aisee
Kuku hawanitoi jasho kwakua strategically huwa naingiza kuku 100 every month. So nawa manage kwa urahis sana. Wakishakua ndio kabisaa ni suala la kuwalisha tu
 
Sipendi kukaa mjini ni vile tu kwa Sasa sina chaguo....but I'm looking forward kuhakikisha narudi kijijini
 
kwenye ng'ombe na hizo acre ni sawa lakini kivumbi ni hao mbuzi achilia mbali nguruwe. Acre nne kwa hao wanyama wote uongo unless uwe unastock ya chakula cha ziada .
 
We umechanganyikiwa katibiwe. Hiyo picha ni ya Ulaya
 
Mkuu uneyapatia sana maisha.
Aisee kama usemavyo ni kweli hata Mimi umenihamasisha kuhama mjini kwenda village.
Hayo ni maisha ambayo Yana utulivu yasiyo na complications yeyote Ile.
Muhimu usiwe mvivu tu
 
Sasa wote tukija kijijini nani atanunua magimbi yenu huku mjini???
Ukifaikiwa kuweka mipango yote sawa kijijini, uhitaji wa fedha unakuwa ni mdogo sana; kwa sababu kila kitu unakuwa nacho/ unazalisha mwenyewe.

Achilia mbali hewa safi, na mazingira mazuri yanayoshawishi utulivu wa akili.​
 
Wewe ndio umekurupuka kujibu.
Mimi nazungumzia uwezekano wa kuwafuga hao wanyama mkiwa wenyewe Wana familia.
Sijazungumiza uhalisia wa stori.
Bali nazungumzia kuwa inawezekana ukawa mwenyewe na uka manage hiyo mifugo na familia yako!
Hivi mitihani ulifaulu vipi wewe pasi na kuelewa content ya swali!!??
 
Kwahiyo kulingana na hii picha yako,hapa ni kijiji gani?Na mimi nimetamani nihamie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…