Chieflumanyika
Senior Member
- Nov 27, 2015
- 130
- 142
Mimi nimepumzika Twitter mpaka waifungulie
msameheni mwenzenu hakufanya vizuri KIdato cha NneUko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forums kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.
Akaja kujitetea jamii forums wakati huo alikuwa kampa kesi Mello wa jamii forums kwamba jamii forums haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forums.
Mpaka gazezi la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.
Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia
Sasa inakuwaje kitu umekifungia halafu unakitumia?!!
Ametumia lini?Uko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forums kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.
Akaja kujitetea jamii forums wakati huo Mello wa jamii forums alikuwa na kesi kwamba jamii forums haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forums.
Mpaka gazeti la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.
Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia
Sasa inakuwaje kitu umekifungia halafu unakitumia?!!
Ila wewe mtoto wewe!Sasa kama wameifungia TWIRRAH, wanapoposti wanampostia nani?
Ni sawa na Luca anavyojamba na kunusa mwenyewe.
Raha ya kujamba ujambe ndani ya mwendokasii, unaachia lile zito la puufuuuuu, unaona sura za watu zinaanza kusawajika na kufura.
Cc: Lucas Mwashambwa Tlaatlaah secretarybird Mbaga Jr Vishu Mtata Poor Brain cocastic
Hii ndiyo nimeipenda. Kwa uchache!!Reconciliation, Resilience, Reform, Rebuild.
Falsafa ya mama Samia Suluhu Hassan
tutayoenda nayo mpaka 2030 kwa uchache.
Hawana akili. Wanajipiga risasi mguuni wenyewe alafu wanajipeleka hospitali watibiwe. Alafu wakitibiwa wanajipiga tena risasiUko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forums kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.
Akaja kujitetea jamii forums wakati huo Mello wa jamii forums alikuwa na kesi kwamba jamii forums haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forums.
Mpaka gazeti la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.
Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia
Sasa inakuwaje kitu umekifungia halafu unakitumia?!!
Africa ni bara lililojaa vituko sana.Yani wafunga choo alafu mavi yakiwabana wanaenda kufungua kujisaidia
Ina maana hujakifingia!Uko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forums kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.
Akaja kujitetea jamii forums wakati huo Mello wa jamii forums alikuwa na kesi kwamba jamii forums haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forums.
Mpaka gazeti la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.
Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia
Sasa inakuwaje kitu umekifungia halafu unakitumia?!!
Endeleankuipenda falasafa ya Reconciliation, Resilience, Reforms, Rebuild.Hii ndiyo nimeipenda. Kwa uchache!!
MJINGA ni hajui, akielezwa anaelewa ujinga unaisha. ILA MPUMBAVU ni kipaji kama urefu au ufupi - by Mwl Nyerere.Hivi nini tofauti ya mjinga na mpumbavu?
Ajuza kwa udini hujamboReconciliation, Resilience, Reform, Rebuild.
Falsafa ya mama Samia Suluhu Hassan
tutayoenda nayo mpaka 2030 kwa uchache.
Siyo uvumbani?Ajuza kwa udini hujambo