Uzushi ni upi kwamba wao kama government hawatumii twitter au goso za kuvutia chooni zimesha kuchanganya we ajuza.Uzushi tu.
NoRNoEReconciliation, Resilience, Reform, Rebuild.
Falsafa ya mama Samia Suluhu Hassan
tutayoenda nayo mpaka 2030 kwa uchache.
Ambapo pia ni kosa kisheria😃Wao wanatumia VPN!
Na wao wanatumia VPN 🤣🤣Hii nchi ni ya watu wajinga na wapumbavu kuanzia Ikulu!
Nasema hivyo ni watu wajinga
Uko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forum kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.
Akaja kujitetea jamii forum wakati huo alikuwa kampa kesi Mello wa jamii forum kwamba jamii forum haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forum.
Mpaka gazezi la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.
Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia
Yaani kitu umekipiga marufuku halafu unakitumia wewe Kama sio mjinga Basi ni mpumbavu!!
1. Mjinga ni sawa na mshamba, ana uwezo wa kujifunza na kubadilika.Hivi nini tofauti ya mjinga na mpumbavu?
Nataka nitumie lenye uzito kucomment huyu aliyefungia X then anaitumia!!
Wamefungia mtandao wa X halafu wanashinda hukohuko wana post, sasa sijui wanam postia nani?Hii nchi ni ya watu wajinga na wapumbavu kuanzia Ikulu!
Nasema hivyo ni watu wajinga
Uko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forum kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.
Akaja kujitetea jamii forum wakati huo alikuwa kampa kesi Mello wa jamii forum kwamba jamii forum haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forum.
Mpaka gazezi la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.
Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia
Yaani kitu umekipiga marufuku halafu unakitumia wewe Kama sio mjinga Basi ni mpumbavu!!
kipi apo ni uzushi Wao kufungia X au wao kutumia X najua ukiwa chawa haimanishi usitumie akili kuutumia mdomo wakoUzushi tu.
Noma sanaWamefungia mtandao wa X halafu wanashinda hukohuko wana post, sasa sijui wanam postia nani?
View attachment 3359168View attachment 3359169
FEAR,DESPERATE,LIES,CORRUPTIONS..2025Reconciliation, Resilience, Reform, Rebuild.
Falsafa ya mama Samia Suluhu Hassan
tutayoenda nayo mpaka 2030 kwa uchache.
Mjinga akieleweshwa anaelewa, ujinga wake unakuwa umekwisha!.Hivi nini tofauti ya mjinga na mpumbavu?
Nataka nitumie lenye uzito kucomment huyu aliyefungia X then anaitumia!!
N.R.N.EReconciliation, Resilience, Reform, Rebuild.
Falsafa ya mama Samia Suluhu Hassan
tutayoenda nayo mpaka 2030 kwa uchache.
Hiyo siyo falsafa, ni upumbavuReconciliation, Resilience, Reform, Rebuild.
Falsafa ya mama Samia Suluhu Hassan
tutayoenda nayo mpaka 2030 kwa uchache.
NO REFORMS NO ELECTION.Reconciliation, Resilience, Reform, Rebuild.
Falsafa ya mama Samia Suluhu Hassan
tutayoenda nayo mpaka 2030 kwa uchache.
AiseeeMpumbavu ni sifa kama kuwa mrefu au mfupi...hafundishiki hata ukimuelewesha!