Utafungiaje Twitter halafu uendelee kuitumia?

Utafungiaje Twitter halafu uendelee kuitumia?

Reconciliation, Resilience, Reform, Rebuild.

Falsafa ya mama Samia Suluhu Hassan
tutayoenda nayo mpaka 2030 kwa uchache.
Acha upuuzi . 4R za kupoteza watu? Huyu dakari aliyeokotwa Koko beach angekuwa ndugu yako ungesemaje?
 
Uko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forums kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.

Akaja kujitetea jamii forums wakati huo Mello wa jamii forums alikuwa na kesi kwamba jamii forums haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forums.

Mpaka gazeti la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.

Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia

Sasa inakuwaje kitu umekifungia halafu unakitumia?!!
Kumbe anazijua vpn 🤣🤣🤣🤣
 
Uko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forums kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.

Akaja kujitetea jamii forums wakati huo Mello wa jamii forums alikuwa na kesi kwamba jamii forums haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forums.

Mpaka gazeti la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.

Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia

Sasa inakuwaje kitu umekifungia halafu unakitumia?!!
haijafungwa ndio maana anatumia gentleman :NoGodNo:
 
Uko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forums kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.

Akaja kujitetea jamii forums wakati huo Mello wa jamii forums alikuwa na kesi kwamba jamii forums haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forums.

Mpaka gazeti la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.

Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia

Sasa inakuwaje kitu umekifungia halafu unakitumia?!!
Mbaya zaidi wanadai kuifungia kwa sababu ya maudhui ya mbaya(Ngono).

Hao watu wataku hawana akili timamu
 
Wanaposti national na international matters wakitumia VPN.
Wakenya wanatushangaa sana akili zetu.
 
Yes kama Twitter iko nje ya maadili basi serikali ifute account zake zote Twitter.

Common sense ya kawaida- ukifungia watu kuwa kwenye platform fulani na wewe una account, inafikirisha sana.
 
Back
Top Bottom