Mpumbavu au stupid aisee ni nzito sana! Mjinga anaelimika ila huyo wa juu ni milele!Hivi nini tofauti ya mjinga na mpumbavu?
Nataka nitumie lenye uzito kucomment huyu aliyefungia X then anaitumia!!
Kwani wewe ujawahi siku ukatuma comment usigusie mambo ya haja kubwa au mambo ya hivo vtu mkuu..Sasa kama wameifungia TWIRRAH, wanapoposti wanampostia nani?
Ni sawa na Luca anavyojamba na kunusa mwenyewe.
Raha ya kujamba ujambe ndani ya mwendokasii, unaachia lile zito la puufuuuuu, unaona sura za watu zinaanza kusawajika na kufura.
Cc: Lucas Mwashambwa Tlaatlaah secretarybird Mbaga Jr Vishu Mtata Poor Brain cocastic
CCM ni mazuzu kweli kweli.Uko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forums kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.
Akaja kujitetea jamii forums wakati huo Mello wa jamii forums alikuwa na kesi kwamba jamii forums haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forums.
Mpaka gazeti la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.
Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia
Sasa inakuwaje kitu umekifungia halafu unakitumia?!!
Shida iko wapi?Kwani wewe ujawahi siku ukatuma comment usigusie mambo ya haja kubwa au mambo ya hivo vtu mkuu..
Samahani lakini.... Sina nia mbaya
Rais tumempata aisee hivi ni yeye au washauri wake? Natamani niwe mshauri nimshauri maana anaelekea kwenye shimo la chewa soon anapoteza mwelekeoUko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forums kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.
Akaja kujitetea jamii forums wakati huo Mello wa jamii forums alikuwa na kesi kwamba jamii forums haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forums.
Mpaka gazeti la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.
Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia
Sasa inakuwaje kitu umekifungia halafu unakitumia?!!
Utapeli tuReconciliation, Resilience, Reform, Rebuild.
Falsafa ya mama Samia Suluhu Hassan
tutayoenda nayo mpaka 2030 kwa uchache.
Ndio maana nimetanguliza na samahaninl mkuuShida iko wapi?
We hujambagi? tena wewe unaonekana ni kajambaji sana, kanajamba kwa kubinua tako moja.
Da faiza kaibuka kutoka kusikojulikana!Uzushi tu.
Kenge Mzee wew, Noo reform,no electionUzushi tu.
Huna loloteSiyo uvumbani?
Reconciliation, Resilience, Reform, Rebuild.
Uzushi Upi? Jelly Slaa ameongea hadharani Kuwa X iko Blocked Tanzania kwasababu ina Maudhui yasiofaa ajabu sasa Page za Serikali ikiwemo Page ya Kurugenzi ya Rais Ikulu ina Post Maudhui Kupitia Huo mtandao wa XUzushi tu.
Sema tu ushuzi usijifanye kupindishaUzushi tu.
Ndiyo hao wanajiita watawalaUko nyuma niliwai kumwambia ukweli Mwigulu juu ya kupotea kwa Ben Saanane mpaka akatoka na kuja jamii forums kujitetea wakati ni waziri wa mambo ya ndani.
Akaja kujitetea jamii forums wakati huo Mello wa jamii forums alikuwa na kesi kwamba jamii forums haijasajiliwa Tanzania na ina operate kinyume na Sheria wakati yeye anaitumia jamii forums.
Mpaka gazeti la the citizen nikaandika ile habari juu ya kashifa Ile kwamba kitu ambacho hakijasajiliwa na kufuata vigezo kinatumiwa na waziri wa mambo ya ndani ambaye polisi wanamshitaki Mello wako chini ya Mwigulu.
Sasa ukija kwa Samia anatumia Twitter wakati kaifungia
Sasa inakuwaje kitu umekifungia halafu unakitumia?!!
Na kuwateka na kuwapoteza akina Mdude Nyagali mbona umesahau?Reconciliation, Resilience, Reform, Rebuild.
Falsafa ya mama Samia Suluhu Hassan
tutayoenda nayo mpaka 2030 kwa uchache.
Tumia Mpumbavu maana mjinga utamwonea kwa kuwa hajuiHivi nini tofauti ya mjinga na mpumbavu?
Nataka nitumie lenye uzito kucomment huyu aliyefungia X then anaitumia!!