Utafungiaje Twitter halafu uendelee kuitumia?

Utafungiaje Twitter halafu uendelee kuitumia?

Sasa kama wameifungia TWIRRAH, wanapoposti wanampostia nani?

Ni sawa na Luca anavyojamba na kunusa mwenyewe.

Raha ya kujamba ujambe ndani ya mwendokasii, unaachia lile zito la puufuuuuu, unaona sura za watu zinaanza kusawajika na kufura.

Cc: Lucas Mwashambwa Tlaatlaah secretarybird Mbaga Jr Vishu Mtata Poor Brain cocastic
Nimeshakukumbuka , tulitokea kituo cha Morocco ukaja kushukia Fire. Ila baadhi walijua ni wewe maana uliposhuka tu wakaanza kukupiga majungu , kuna mmoja alikutetea kuwa huenda ulibanwa sana na haja na usingeweza kustahimili hadi kazini kwako Posta, hivyo umeshuka kutafuta choo
 
Back
Top Bottom