Nimejikuta nacheka kwa sauti.Ni ujinga kufananisha dyudyu yako na chura.
Nimejikuta nacheka kwa sauti.Ni ujinga kufananisha dyudyu yako na chura.
mmmhhh!!!wee miss chagga mchokozi lkn,mashetani yakipanda utanisaidia kuyatuliza??.Jishike chini ya kitovu chako huyo huyo umepatia
Nitakutumia picha ujipulimmmhhh!!!wee miss chagga mchokozi lkn,mashetani yakipanda utanisaidia kuyatuliza??.
Hayo mambo sijayazoea na sitaki kuyazoea,nataka kitu nyama.Nitakutumia picha ujipuli
Ha ha ha sawa mkuuHayo mambo sijayazoea na sitaki kuyazoea,nataka kitu nyama.
Ni kwann hsa mnakuwa mnawoga wa kias hchoKuna siku nliona mende kweli nlikua na lengo la kumuua ila alivojitokeza nilijikuta juu ya kiti
kweli ila yule mdudu wa jicho moja hatuogopi huwa hadi tuna muweka mdomoni
Kwel kabsawao wanaogopa wadudu, dyudyu akaa! tamu yao hiyo
Na mbaya zaidi husubiri ukiwa pabaya mfano mbele ya wakweSiafu ndio habari ya mjini....akiingia kwenye paja...umaweza vua nguo hadharani
kweli ila yule mdudu wa jicho moja hatuogopi huwa hadi tuna muweka mdomoni
jamani wew utanishinda sasa mankaNitakutumia picha ujipuli
hilo tamuuKweli kabisa mkuu
I Miss You miss chagga..kweli ila yule mdudu wa jicho moja hatuogopi huwa hadi tuna muweka mdomoni
Hii inanikumbusha mwanzoni mwa miaka ya 2000 tulikuwa tukisafiri kutoka arusha kwenda namanga sasa njiani katikati ya pori nyoka mkubwa tu akakatiza barabara na kwa spidi tuliyokuwa nayo tulimkanyaga sehemu ya mkiani lakini aliishia porini sasa bwana kuna mdada mmoja tulikuwa naye kwanza ile tu kumuona nyoka anakatiza aaliruka na kumkumbatia jamaa mmojawapo tuliyekuwa naye japokuwa tulikuwa tumefunga madirisha yote lakini hakuamini yeye alijua nyoka karukia ndani ya gari..me wife akiona nyoka hata kwenye TV ujue siku hiyo tunalala macho huku tumewasha taa ya chumbani isee,wanawake ni viumbe vinavyohitaji caring na unyenyekevu wa hali ya juu sana.
kweli ila yule mdudu wa jicho moja hatuogopi huwa hadi tuna muweka mdomoni
Hao ndio sisi sasa......Dudu chafu sana lile.....Kuna hawa wanaoogopa mende....!!!!
Hahaaaa hii chai imezidi tangawizi :OYaani mimi huu ujasiri mpaka najishangaa... Nini mende, chura sijui kinyonga!??!!...kuna siku ka miezi 2 iliyopita nilienda bush kwa grandpa, ile nachomoka kichakani nikakutana na bonge la puff adder ( mkubwa na mnene ka kilo 120) yaan fasta nilimdaka shingoni na mimeno yake nilimpiga ngumi mbili za uso ( tough fist) niliona mwenyewe anaishiwa nguvu sijui alikufa maskini!...so sio kila ke ni mwoga