GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,023
Sasa hizo Hela mnazohongwa huwa mnazipeleka wapi Dada zetu hadi mnatutesa hivi tukija Kulala nanyi Mlikopanga?
Kumbe ndiyo maana hata tukiwaombeni Kuwatembeleeni mlikopanga mnakataa?
Nimesikitika mno kwani unakutana na Mdada Mremho, Kavalia vyema na Kajipulizia Pafyumu Kali kumbe akirejea Kwake analala Sakafuni na Godoro lake huku akiwa hana Kitanda.
Yafuatayo ni Maeneo ambayo Wadada ( Wanawake ) Wengi Watanashati ( Masista Duu ) wanaishi ila Wanalala chini na hawana Vitanda.....
1. Tabata
2. Goba
3. Mbezi Lois
4. Bunju
5. Ubungo
6. Mbagala
7. Kawe
8. Tegeta
9. Yombo
10. Mwananyamala
11. Tandika
Naomba niishie hapa Kwanza nikatafute Dawa ya Kuchua Maumivu ya Mgongo kwa Kulala Sakafuni Godoroni Usiku Kucha na kuyapumzisha Magoti yangu yaliyosumbuana mno na Godoro lililokuwa linakaribia tu kuwa kama Sakafu wakati nikiitafuta Hat Trick ya Kibaiolojia ya Mayele na Zengeli kwa Mwenye Chumba chake.
Kumbe ndiyo maana hata tukiwaombeni Kuwatembeleeni mlikopanga mnakataa?
Nimesikitika mno kwani unakutana na Mdada Mremho, Kavalia vyema na Kajipulizia Pafyumu Kali kumbe akirejea Kwake analala Sakafuni na Godoro lake huku akiwa hana Kitanda.
Yafuatayo ni Maeneo ambayo Wadada ( Wanawake ) Wengi Watanashati ( Masista Duu ) wanaishi ila Wanalala chini na hawana Vitanda.....
1. Tabata
2. Goba
3. Mbezi Lois
4. Bunju
5. Ubungo
6. Mbagala
7. Kawe
8. Tegeta
9. Yombo
10. Mwananyamala
11. Tandika
Naomba niishie hapa Kwanza nikatafute Dawa ya Kuchua Maumivu ya Mgongo kwa Kulala Sakafuni Godoroni Usiku Kucha na kuyapumzisha Magoti yangu yaliyosumbuana mno na Godoro lililokuwa linakaribia tu kuwa kama Sakafu wakati nikiitafuta Hat Trick ya Kibaiolojia ya Mayele na Zengeli kwa Mwenye Chumba chake.