Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
Wasalaam,
Nafanya utafiti kujua idadi ya Raia wa Kenya wanaofanya kazi TZ. Huu ni utafiti ambao ni nyeti sana, naomba unayechangia ustick kwenye swali la utafiti kuliko kuleta hisia zingine. Utafiti huu ni wa kawaida kabisa. Hivi karibuni Kenya wamefanya utafiti na kubaini kuwa kuna Wakenya 300,000 wameajiriwa Rwanda (http://www.kenyansinrwanda.umutuzo.com/),
pia Kenya ni nchi ya tano Afrika kuwa na raia wake wengi Marekani(KENYANS IN DIASPORA). Pia kuna Wakenya wengi sana zaidi ya 70,000 huko Sudan ya kusini Are Southern Sudanese 'Jealous' of Kenyans Or.. Case of Insecurity? - SkyscraperCity.
Kilichonisuma kufanya utafiti huu ni kwa ajili ya kujiridhisha nafsi yangu, hasa baada ya Mkenya mmoja kuniambia ''eeh TZ ndo tukitaka kuja at tutachukua kazi zenyu wote maana nyie hamko na education na skills. Kwahiyo nafanya utafiti kuona je statement yake ni kweli? Kwa kuanzia nataka niaone aina ya kazi wanazofanya Wakenya, halafu ndipo nione kama kweli sisi hatuna elimu hiyo na skills hizo. Naomba ushirikiano
Naomba uorodheshe wadhifa au nafasi (title) na mahali anapofanya kazi mkenya hapa nchini. Usitaje jina la mtu. Naanza kutaja.
Nafanya utafiti kujua idadi ya Raia wa Kenya wanaofanya kazi TZ. Huu ni utafiti ambao ni nyeti sana, naomba unayechangia ustick kwenye swali la utafiti kuliko kuleta hisia zingine. Utafiti huu ni wa kawaida kabisa. Hivi karibuni Kenya wamefanya utafiti na kubaini kuwa kuna Wakenya 300,000 wameajiriwa Rwanda (http://www.kenyansinrwanda.umutuzo.com/),
pia Kenya ni nchi ya tano Afrika kuwa na raia wake wengi Marekani(KENYANS IN DIASPORA). Pia kuna Wakenya wengi sana zaidi ya 70,000 huko Sudan ya kusini Are Southern Sudanese 'Jealous' of Kenyans Or.. Case of Insecurity? - SkyscraperCity.
Kilichonisuma kufanya utafiti huu ni kwa ajili ya kujiridhisha nafsi yangu, hasa baada ya Mkenya mmoja kuniambia ''eeh TZ ndo tukitaka kuja at tutachukua kazi zenyu wote maana nyie hamko na education na skills. Kwahiyo nafanya utafiti kuona je statement yake ni kweli? Kwa kuanzia nataka niaone aina ya kazi wanazofanya Wakenya, halafu ndipo nione kama kweli sisi hatuna elimu hiyo na skills hizo. Naomba ushirikiano
Naomba uorodheshe wadhifa au nafasi (title) na mahali anapofanya kazi mkenya hapa nchini. Usitaje jina la mtu. Naanza kutaja.
- HRM wa NMB