Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,415
- 14,183
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mradi huu inajengwa na mkandarasi mchina aliyetokea Kenya.
Sasa huyu mchina amekuja na wakenya hapa mpaka wadada washika vibendera uelewe. Alikuwepo jamaa mmoja alikuwa akitoa taarif uhamiaji wakija wanapewa sabuni ya roho baadaye wanamchomesha kuwa ndiye aliyewapa taarifa mpaka wakamfukuza kazi Mana alikuwa anawachomesha.
Kuna madereva ambao Ni wakenya mpaka saveya ni Mkenya. Mpaka Engineer ni Mkenya. Mie nakuuliza kuwa Hakuna watanzania ambao wanaweza wakazifanya hizi kazi. Na mradi ulipoanza mamia ya watanzania walisotea kazi ,wakaambulia na wapo ambao hawakuambulia kitu.
Kitu mie naumia Ni kuwa huyo mchina wakija uhamiaji kuwacheki hao jamaa wanapigwa something wanasepa.
Ninaomba hili suala liweze kuwafikia DC, diwani, RC, mbunge mabula pia na waziri wa kazi kuwa hili suala walijue na wapo kwa ajili ya watanzania naombeni muwatumikieni Watanzania kwa moyo mmoja.
Tembeleeni huo mradi na muongee na wafanyakazi ambao Ni wa kitanzania watawaambia Mana kuna hii Hali ndio huwa inapelekea machafuko wakati mwingine. Mradi unafanyika nchini kwetu na utalipwa kwa Kodi za watanzania Mana Ni mkopo kutoka WB.
Naumia tunavyodharaulika Watanzania. Nina Imani ni nchi yenye utaratibu sio lazima vurugu ifanyike Mana saivi tuna vijana kibao wamesoma wapo mtaani Kuna kazi ikitangazwa elimu kunzia diploma hata nafasi 10 tunaweza kupata maombi milioni moja ni kidogo.
Mradi huu uwanuifaishe watanzania wote. Mie Ni mtanzania na mwananchi mwenye moyo na mapenzi ya dhati kabisa na Tanzania na Watanzania.
Nina Imani na viongozi wetu hili suala watalishughulikia sio lazima Raisi Samia ahusike Mana anao wasaidizi wake wanaomsaidia kazi.
Ahsanteni.
Mradi huu inajengwa na mkandarasi mchina aliyetokea Kenya.
Sasa huyu mchina amekuja na wakenya hapa mpaka wadada washika vibendera uelewe. Alikuwepo jamaa mmoja alikuwa akitoa taarif uhamiaji wakija wanapewa sabuni ya roho baadaye wanamchomesha kuwa ndiye aliyewapa taarifa mpaka wakamfukuza kazi Mana alikuwa anawachomesha.
Kuna madereva ambao Ni wakenya mpaka saveya ni Mkenya. Mpaka Engineer ni Mkenya. Mie nakuuliza kuwa Hakuna watanzania ambao wanaweza wakazifanya hizi kazi. Na mradi ulipoanza mamia ya watanzania walisotea kazi ,wakaambulia na wapo ambao hawakuambulia kitu.
Kitu mie naumia Ni kuwa huyo mchina wakija uhamiaji kuwacheki hao jamaa wanapigwa something wanasepa.
Ninaomba hili suala liweze kuwafikia DC, diwani, RC, mbunge mabula pia na waziri wa kazi kuwa hili suala walijue na wapo kwa ajili ya watanzania naombeni muwatumikieni Watanzania kwa moyo mmoja.
Tembeleeni huo mradi na muongee na wafanyakazi ambao Ni wa kitanzania watawaambia Mana kuna hii Hali ndio huwa inapelekea machafuko wakati mwingine. Mradi unafanyika nchini kwetu na utalipwa kwa Kodi za watanzania Mana Ni mkopo kutoka WB.
Naumia tunavyodharaulika Watanzania. Nina Imani ni nchi yenye utaratibu sio lazima vurugu ifanyike Mana saivi tuna vijana kibao wamesoma wapo mtaani Kuna kazi ikitangazwa elimu kunzia diploma hata nafasi 10 tunaweza kupata maombi milioni moja ni kidogo.
Mradi huu uwanuifaishe watanzania wote. Mie Ni mtanzania na mwananchi mwenye moyo na mapenzi ya dhati kabisa na Tanzania na Watanzania.
Nina Imani na viongozi wetu hili suala watalishughulikia sio lazima Raisi Samia ahusike Mana anao wasaidizi wake wanaomsaidia kazi.
Ahsanteni.