Kinana hajatoa tamko tu kuhusu TCIB?
hapo kwenye red kuna tatizo. ni vyema utafiti ufanywe kwa wale watakaopiga kura na si kuchanganya na watoto wa shule za msingi
na inaonekana hiyo sio random sampling
REDET na SYNOVATE walishaamua kutofanya tafiti this tyme ili wasimuangushe jamaa yao. lakini nahisi waliposikia kuwa TCIB wanafanya tafiti. basi jamaa wakakurupuka na kuanza kuembaras umma kwa tafiti yao isiyofanyika na kumbe TCIB wamekuja na majibu ya hali halisi.
Sasa tuwasubiri akina rwekaza wakiikandia ripoti hii ya TCIB maana yao ilikandwa na wasomi kama wao.
Jamaa wa TCIB wametumia vigezo murua ktk kutafiti na kuwakilisha.
Aidha Dr. Vicent Leyaro amesema washiriki katika kura hii ya maoni ni 3047 wenye wasifu wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na watoto chini ya darasa la saba, elimu ya sekondari na elimu iliyo juu ya sekondari ambapo katika utafiti huo silimia kubwa ya vijana wamonekana kuunga mkono mgombea urais wa CHADEMA Wllbrod Slaa na asilimia kubwa ya wazee wameonyesha kumuunga mkono mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete.