GE2010 Utafiti wa TCIB: Dk. Slaa aongoza

GE2010 Utafiti wa TCIB: Dk. Slaa aongoza

Wela wela Bye Bye CHAMA CHA MAJÁNGIRI. Bendera yenu ya CCM tutaitundika makubusho jirani na Millenium Tower!!
 
Tambwe hiza anasema kuwa, Tanzania Citizen's Information Bureau (TCIB), kwahiyo hawezi kukubali matokeo hayo
 
Mkuu,

Hapo umepewa tu kwa ufupi. Riport kama hizi huwa ni ndefu sana kwani wanaweka wastani kwa wato wote kwanza na hapo wanakuja kuanza kuweka wastani katika makundi madogomadogo kwa mfano:

1. CCM watakaomchagua Slaa.
2. Akina mama wote au makundi yake.
3. Wastani kwa watu wote wanaoweza kupiga kura.
4. Wastani kwa watoto chini ya umri wa kupiga kura (hapa zaidi utajua Wazazi wako upande gani).
5. Wastani kwa Wasomi na wasiosoma, Wakulima na wafanyakazi / Wanafunzi, Wamjini na wavijijini nk.

Itakuwa heri kufanya subira ili kuuona riport nzima maana sidhani hao watoto wa chini ya darasa la saba nao watakuwa wamehesabiwa kwenye idadi ya mwisho ya Wapiga kura. Nyingine zipo zaidi ili kujua mwenendo wa kisiasa kwa watoto (inaleta picha halisi kujua wazazi wako upande gani maana mara nyingi wazazi wanawa-influence watoto).

We bwana Sikonge, hayo unayosema ni ya kwako. Wao TCIB wameorodhesha sampling groups walizozitumia. Kwa ushauri tu.. we kafanye utafiti wako halafu utumie hiyo njia kisha tuletee matokeo.
 

Amesema Dr. Willbod Slaa ameongoza kwa asilimia kubwa katika mikoa ya Kilimanjaro 71%, Arusha 60.4%, Manyara79.8%, Iringa58.2% na Dar es salaam 42% ambapo Jakaya Kikwete ameongoza kwa asilimia kubwa katika mikoa Dodoma 59.3%, Morogoro 56%, Mbeya50%, Rukwa54.3% na Ruvuma 55%.
Hata hawa TCIB ninawatilia mashaka makubwa sana. Mimi siamini Dr. Slaa atapata 42% Dar.........Minimum there itakuwa 65%.

Mikoa ya Mbeya na Rukwa JK kamwe hawezi kushinda. Kwa hiyo TCIB wamechemsha mno.

Nimejaribu kuifungua hiyo tovuti sijafanikiwa lakini kichwa cha habari hakioani na takwimu zako.

Takwimu za mgawanyiko wa kura za vijana kwa wazee zipo bubu juu ya takwimu halisi wakati ambapo matumizi ya maneno ya "asilimia kubwa" au "kiwango kikubwa" hayatoi picha halisi kati ya wagombea hao wawili...
katika utafiti huo silimia kubwa ya vijana wamonekana kuunga mkono mgombea urais wa CHADEMA Wllbrod Slaa na asilimia kubwa ya wazee wameonyesha kumuunga mkono mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete.


Takwimu hizi zisije kuwa janja ya nyani ya baadaye CCM kusema vijana kweli walikuwa wanamuunga mkona Dr. Slaa lakini hawkujiandikisha na ndio maana hakushinda.

Vile vile angalizo kuna sababu gani yakukusanya takwmiu za watoto ambao hawapigi kura?


Aidha Dr. Vicent Leyaro amesema washiriki katika kura hii ya maoni ni 3047 wenye wasifu wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na watoto chini ya darasa la saba, elimu ya sekondari na elimu iliyo juu ya sekondari

Hakuna mahali ambapo Dr. Slaa na JK wamelinganishwa ki-inchi nzima ili mtu uweze kufikia hatua ya kusema Dr. Slaa kushinda kwa kishindo hasa ukizingatia tuna mikoa zaidi ya ishirini na hii mifano ya mikoa kumi tu wakati ushindi umeshikiliwa na mikoa kumi na tano na tofauti zao sio za kutisha naona hakuna takwimu za kufanya hitimisho za aina yoyote ile.

Please furnish us with more details or you have wasted our precious time.
 
Matokeo wameyatoa leo?
Kwa vyombo vya habari uu ndo tungoje usiku kwa news manake iyo nayo yaitaji publcity.Angalau samle ni ya zaidi ya watu 3000

BBC idhaa ya kiswahili , wametangaza labla tusubiri TBC, CHANEL 10, ITV
 
Hata kama sample ni ndogo ile kutoa category ya walio hojiwa it shows validity. Kinachofurahisha zaidi ni kuwa vijana wengi wanahitaji mabadiliko huu ni mtaji kwa CHADEMA
 
mhhh! Mi nahisi tungepata na tafiti za Zanzibar pia tungepata kuona muelekeo ukoje.
 
Thanx God for answering our prayers. Redet and Synovate are good at cooking data. Walahi Dr Slaa akishinda wazifunge ofc zao. It pains a lot when we see the elite becoming traitors of the society instead of being catalyst for change. . I hate them with all my strenghth. Kudadadeki Dr Slaa ndiye Rais wetu.
 
Nilichofurahi ni kuona kwa mara ya kwanza wanaCHADEMA KIMSINGI WANAKUBALI matokeo ya tafiti japokuwa idadi ya washirikishwa ni 3047.

Jamani eeeeeeeeeeh, kama kweli mnapenda mabadiliko na mmemchoka JK na wasanii wenzie, siku ya uchaguzi nenda kapige kura and kindly do the nidiful - pigia kura Dr. Slaa na Mbunge wa Chadema.

Hizi ''tafiti'' za kuwahoji watu 3,047 wakati tuna wapiga kura zaidi ya milioni 19 na watanzania zaidi ya milioni 35 HAZINA MAANA in my honest opinion!

Let us not urge and waste a lot of valuable time about this and show our intelligence where it matter most - ballot box
 
Aidha Dr. Vicent Leyaro amesema washiriki katika kura hii ya maoni ni 3047 wenye wasifu wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na watoto chini ya darasa la saba, elimu ya sekondari na elimu iliyo juu ya sekondari ambapo katika utafiti huo silimia kubwa ya vijana wamonekana kuunga mkono mgombea urais wa CHADEMA Wllbrod Slaa na asilimia kubwa ya wazee wameonyesha kumuunga mkono mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete

Hapa wameniacha njia panda, kuna watoto wa chini ya darasa la saba wenye sifa ya kupiga kura?
 
Ulinzi wa kura ni muhimu vinginevyo ni mapema kushangilia
 

View attachment 15350
Kutoka kushoto ni Mhadhini kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Uchumi Dr.Vicent Leyaro akizungumza na waandishi wa habari katika Hotel ya Courtyard juu ya utafiti wa (TCIB) akiwa na mwakilishi wa Mkurugenzi wa (TCIB) Bw. Steven Msechu.

Na.Mwandishi wetu.

[
Aidha Dr. Vicent Leyaro amesema washiriki katika kura hii ya maoni ni 3047 wenye wasifu wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na watoto chini ya darasa la saba, elimu ya sekondari na elimu iliyo juu ya sekondari ambapo katika utafiti huo silimia kubwa ya vijana wamonekana kuunga mkono mgombea urais wa CHADEMA Wllbrod Slaa na asilimia kubwa ya wazee wameonyesha kumuunga mkono mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete.[/COLOR]

Mama yangu! Taaluma ya utafiti sasa imebakwa vilivyo. Hata watoto wa CHINI ya darasa la SABA (sijui ni vidudu au chekechea?) walishiriki katika kura hii?

Naona MOD kaamua tu ai-move hii TOPIC kuepusha AIBU kwa chadema na kwa JF vilevile.
 
TBC imepata kiwewe kutaja DR wa Kweli mheshimiwa sawa ndugu yetu na mkombozi Slaa ameongoza..Wamechakachua!!!
 
Hata hawa TCIB ninawatilia mashaka makubwa sana. Mimi siamini Dr. Slaa atapata 42% Dar.........Minimum there itakuwa 65%.

Mikoa ya Mbeya na Rukwa JK kamwe hawezi kushinda. Kwa hiyo TCIB wamechemsha mno.

Nimejaribu kuifungua hiyo tovuti sijafanikiwa lakini kichwa cha habari hakioani na takwimu zako.

Takwimu za mgawanyiko wa kura za vijana kwa wazee zipo bubu juu ya takwimu halisi wakati ambapo matumizi ya maneno ya "asilimia kubwa" au "kiwango kikubwa" hayatoi picha halisi kati ya wagombea hao wawili...


Takwimu hizi zisije kuwa janja ya nyani ya baadaye CCM kusema vijana kweli walikuwa wanamuunga mkona Dr. Slaa lakini hawkujiandikisha na ndio maana hakushinda.

Vile vile angalizo kuna sababu gani yakukusanya takwmiu za watoto ambao hawapigi kura?




Hakuna mahali ambapo Dr. Slaa na JK wamelinganishwa ki-inchi nzima ili mtu uweze kufikia hatua ya kusema Dr. Slaa kushinda kwa kishindo hasa ukizingatia tuna mikoa zaidi ya ishirini na hii mifano ya mikoa kumi tu wakati ushindi umeshikiliwa na mikoa kumi na tano na tofauti zao sio za kutisha naona hakuna takwimu za kufanya hitimisho za aina yoyote ile.

Please furnish us with more details or you have wasted our precious time.

Hali halisi haitapatikana kwa poll. Hii ni prediction. Lakini angalau kwa mara ya kwanza tunaonyeshwa kuwa uchaguzi ni tight tofauti na mtu kukaa ofisini na kuandika 71% Kikwete, 12% Slaa. Hata kama haya matokeo yangesema kikwete 46% Slaa 39% bado ningekubali maana huo ni kama ukweli ila mtu kusema kuna toafuti ya 50% ni ukichaa!
 
Mama yangu! Taaluma ya utafiti sasa imebakwa vilivyo. Hata watoto wa CHINI ya darasa la SABA (sijui ni vidudu au chekechea?) walishiriki katika kura hii?

Naona MOD kaamua tu ai-move hii TOPIC kuepusha AIBU kwa chadema na kwa JF vilevile.

Teh teh teh! Weye na mgonjwa mwenzio mnadhani kuna dawa ya kupona hapa?

Labda muombe tena ushauri wa ustaadh asiye na haya hasemi.
 
Synovate na REDET kumbe wamefanya utafiti mwezi wa tisa mwanzoni. Sio fair eti :jaw:
 
Desperate situation: kigoli anatumbua chuchu akidhania ni jipu!
 
Back
Top Bottom