UTAFITI: Rais Samia awapiku Ruto, Kagame na Museveni-Moody's

UTAFITI: Rais Samia awapiku Ruto, Kagame na Museveni-Moody's

LopoLopo

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2025
Posts
264
Reaction score
152
TANZANIA YAZIPIKU KENYA NA UGANDA UWEZO WA KUHUDUMIA DENI LA TAIFA

Mwaka 2024 kampuni inayoheshimika zaidi Duniani kwa Uthamini wa Uchumi na Madeni ya Moody's wameitaja Tanzania chini ya Rais Samia, kama nchi inayoweza kuhimili vema deni lake kwa kuipa Daraja B1 wakati Kenya ikiambulia B3, Rwanda B2 na Uganda B2 (Moody's Page)

IMG-20250715-WA0034.jpg
 
TANZANIA YAZIPIKU KENYA NA UGANDA UWEZO WA KUHUDUMIA DENI LA TAIFA

Mwaka 2024 kampuni inayoheshimika zaidi Duniani kwa Uthamini wa Uchumi na Madeni ya Moody's wameitaja Tanzania chini ya Rais Samia, kama nchi inayoweza kuhimili vema deni lake kwa kuipa Daraja B1 wakati Kenya ikiambulia B3, Rwanda B2 na Uganda B2 (Moody's Page)

View attachment 3406604
Kwani kuna mashindanko
 
TANZANIA YAZIPIKU KENYA NA UGANDA UWEZO WA KUHUDUMIA DENI LA TAIFA

Mwaka 2024 kampuni inayoheshimika zaidi Duniani kwa Uthamini wa Uchumi na Madeni ya Moody's wameitaja Tanzania chini ya Rais Samia, kama nchi inayoweza kuhimili vema deni lake kwa kuipa Daraja B1 wakati Kenya ikiambulia B3, Rwanda B2 na Uganda B2 (Moody's Page)

View attachment 3406604
Utafiti by LOPOLOPO
 
Back
Top Bottom