CHADEMA nilikuwa nawapenda sana kabla ya uchaguzi lkn naona mnazidi kuwa wajinga kadri siku zinavyokwenda.Hivi ni kweli CHADEMA mnapigania maslahi ya Watz au mnamtumikia mtu?So far Muhongo ameweka mikakati yake hadharani ya kuhakikisha Watz wanapata umeme wa uhakika na wa gharama nafuu,hiyo ilitosha kupata uungwaji mkono kutoka kwa Watz wote CHADEMA mkiwemo lkn wapi,mmekazana na ESCROW mkijifanya mna uchungu na nchi hii wakati baadhi ya viongozi wa CHADEMA wanasemekana kushiriki ktk mgao wa ESCROW na fedha zao walichukulia Stanbic ndio maana walikataa kufichua majina ya waliochukua fedha kupitia benki hiyo. Kinachonichanganya zaidi ni uharaka wao wa kumsamehe Lowassa mtu mwenye kashfa lukuki za ufisadi huku wakiwa wazito kumsamehe Muhongo ambaye hana kashfa yoyote ya ufisadi.Hata ripoti ya akina Zitto ilishindwa kuthibitisha jinsi Muhongo alivyoshiriki ktk ufisadi wa ESCROW.