Utabiri: Muhongo atajiuzulu tena

Utabiri: Muhongo atajiuzulu tena

Watu wengine bhana. Eti muhongo alikuwa waziri, fedha ikachotwa kutoka wizarani kwake kwa mabilioni, hadi akajiuzulu halafu leo anajifanya hajui kilichotokea na ni msafi. Only in dar.
wabongo wagumu mno kuelewa,mlishaambiwa escrow hazikuwa pesa za umma,
muhongo aliondoka kwa majungu tu ya mengi,wenye dhamana ya nchi walisema wazi escrow hazikua pesa za umma
 
Were unaonekana mkongwe na huwezi kutekwa na hadaa imejuwaje hii imekuteka?
Hivi kwa akili yako kiongozi wa upinzani anawezaje kushirikishwa wizi katika setikali na jina lake likafichwa huku wengine walio na nyazifa wanatajwa?
Msiwe mnachotwa na uongo wa kutunga kwa makusudi

Mkuu kwa lumumba yeyote ukimgusia habari za escrow anakurupuka kama moto wa kiangazi bila hata kujua nini anaadika kama huyo
 
Muhongo yupo pale kwa muda tu
naibu wake ata take over...

Kweli sana the boss, maana bunge llishajiridhisha na yeye kujiuzulu kipindi kile na kurudi ni kama dharau kubw kwa bunge. Nahisi hii na dharau sana kwa bunge letu, kumuwajibisha mtu na raisi ajaye kumrusisha tena palepale.
 
Mh, wanaomfagilia Kubenea ni vichaa kama yeye. Kubenea hana sifa ya aina yoyote ya Ubinadamu kwani hatumii kichwa chake (kufikiri, kamua na kutenda) sifa na silka ya binadamu ambayo wanyama wengine wamekoswa.

TAFAKARI CHUKUA HATUA

Wewe naona unatumia masaburi kufikiria na kutenda
 
Prof.Muhongo yule amepewa uwaziri wa nishati na madini kwa shiniko la Mkwere.
kwenye bunge ajiandae vizuri ndiyo utakuwa wa uwaziri wake
 
Kweli watu wengi mna vichwa vya wenda wazimu, Muhongo ni kati ya vichwa vichache TZ vinavyoumiza wasio jali maslahi ya Taifa.Kubenea ataanzia wapi kama alithubutu kumwandama Mamnvi kwa ufisadi kwa muda wa miaka 7 Leo huyo huyo anamsafisha.Ajenda ya ufisadi upinzani hawiwezi tena!!

Muhongo ni mtu wa kawaida na tz ina watu wengi wenye uwezo zaid yke
 
Job Ndugai anahasira sana na Walioshiriki kwenye Escrow maana alivyokuwa anasimamia bunge ili wa liochukua fedha kwa sandarusi wajulikane. Bi kiroboto akamtuma aende ughaibuni kurudi sakata la escrow limeisha. Safari hii atalisimamia na bila shaka yeyote wote waliochukua fedha watajulikana na kuadabishwa.

Ndo maana staki kusema sana ili nsiaribu huu mchuzi, najua hapo hawatakwepa maana mshika mpini ana machungu pia. Let the game begin
 
Hovyo kabisa, sio mtu wa Monduli yule, anatoka Mara! Eti atajiuzulu.
Alafu huo ujasiri wa chadema kuongelea ufisadi wanaupata wapi?
 
Kweli watu wengi mna vichwa vya wenda wazimu, Muhongo ni kati ya vichwa vichache TZ vinavyoumiza wasio jali maslahi ya Taifa.Kubenea ataanzia wapi kama alithubutu kumwandama Mamnvi kwa ufisadi kwa muda wa miaka 7 Leo huyo huyo anamsafisha.Ajenda ya ufisadi upinzani hawiwezi tena!!

Napenda watu kama wewe sana! Unamsifia mwanaume kuwa ni vichwa vichache hapa TZ! Tz ina vichwa vingi sana, isipokuwa cha kwako tu ndo hakipo!! Anachofanya JPM ni completely sera za upinzani.
Wewe ni bure kabisa mkuu!
 
Kwani anahusika?? Au kosa kuwaambia kweli...?
 
mawia: sina nia ya kukujibu kwa kuwa wana jamvi hawatajua nani mjinga
 
Last edited by a moderator:
Kinachonichanganya zaidi ni uharaka wao wa kumsamehe Lowassa mtu mwenye kashfa lukuki za ufisadi huku wakiwa wazito kumsamehe Muhongo ambaye hana kashfa yoyote ya ufisadi.Hata ripoti ya akina Zitto ilishindwa kuthibitisha jinsi Muhongo alivyoshiriki ktk ufisadi wa ESCROW.[/QUOTE]

Lowasa kasamehewa lini? Lowasa kasimamia ufisadi alipoagizwa na Mkuu wake. CDM walisema ufisadi ni mfumo. Prof. Muhongo alihukumiwa kashifa ya ESCROW kwa kuwa dalali wa ufisadi na kusimamia ufisadi na kusema uongo bungeni kwamba zile pesa si za Umma wakati haitaji degree kujua zile ni pesa za umma au sio. Prof .Muhungo ni fisadi tu kama alivyo Lowasa. CCM walipomuandama EL kwamba ni fisadi wao ni wasafi? Suala la kukemea Ufisadi haliitaji mpaka mtu unayekemea ufisadi uwe msafi kwa maana hakuna msafi kila mtu ni fisadi kwa nafasi yake ila ukigundulika inabidi ulipuliwe tu.

HATA WEZI WA MTAANI WANATAJANA NA KUUMBUANA. FISADI KUMPINGA NA KUMUUMBUA FISADI MWENZAKE INAFAA NA IUNGWE MKONO.
 
Uzuri wa game hii ya marudiano ya Escrow ni kwamba inawagusa wengi na imechukiza wazalendo wengi walioamini kwamba Muhongo kimaadili na mategemeo ya jamii aliwajibika na hastaiili kurudishwa kwenye wadhifa wake ukitilia manani uwepo wa Watanzania wengi ambao wangemudu wizara hiyo. Hivyo katika suala hili wa CCM bungeni watashirikiana na wapinzani kuliko ilivyowahi kutokea.
 
Back
Top Bottom