Utabiri: Muhongo atajiuzulu tena

Utabiri: Muhongo atajiuzulu tena

Job Ndugai anahasira sana na Walioshiriki kwenye Escrow maana alivyokuwa anasimamia bunge ili wa liochukua fedha kwa sandarusi wajulikane. Bi kiroboto akamtuma aende ughaibuni kurudi sakata la escrow limeisha. Safari hii atalisimamia na bila shaka yeyote wote waliochukua fedha watajulikana na kuadabishwa.

Wakitajwa hao wa sandarusi unadhani viongozi wa Upinzani nao watasalimika?
 
Ukishanga ya escro utaona ya bomba la gesi!
 
Prof. Muhongo will stay. Tatizo Tanzania tunapenda mediocrity. Muhongo was and is still among the best ministers.

He might have said the escrow money did not belong to the government. He is not a saint.

Sasa amewakaribisha wazawa wenye pesa kawekeza umeme wa gesi. Kinyerezi II gharama yake ni US $ 185 million. Karibu Mengi uwekeze huko!
 
Muhongo is there to stay! Huwezi kumwacha mtu makini kama huyu kwa visa vya kibishara. Ebu tuwe wakweli, kwenye hili Baraza lililotangazwa nani anampiku Muhongo kwa uchapaji kazi? Hakuna.
 
Muhongo is there to stay! Huwezi kumwacha mtu makini kama huyu kwa visa vya kibishara. Ebu tuwe wakweli, kwenye hili Baraza lililotangazwa nani anampiku Muhongo kwa uchapaji kazi? Hakuna.

Anachapa kazi kwa kuiba kama alivyofanya escrow?
 
Prof. Muhongo will stay. Tatizo Tanzania tunapenda mediocrity. Muhongo was and is still among the best ministers.

He might have said the escrow money did not belong to the government. He is not a saint.

Sasa amewakaribisha wazawa wenye pesa kawekeza umeme wa gesi. Kinyerezi II gharama yake ni US $ 185 million. Karibu Mengi uwekeze huko!

Ni mwizi tu
 
Muhongo ni mtu makini sana na kama unataka kujua umakini wake nenda na figisufigusi zako ofisini kwake tatizo tunaweka siasa kwenye kila kitu waliotuhumiwa na escrow account wote wako bungeni kwa nini tatizo peeke awe muhongo hii nchi ndivyo hilivyo achane tusonge mbele na hii awamu 5 tuone nini kitafatia
 
Wakitajwa hao wa sandarusi unadhani viongozi wa Upinzani nao watasalimika?

Were unaonekana mkongwe na huwezi kutekwa na hadaa imejuwaje hii imekuteka?
Hivi kwa akili yako kiongozi wa upinzani anawezaje kushirikishwa wizi katika setikali na jina lake likafichwa huku wengine walio na nyazifa wanatajwa?
Msiwe mnachotwa na uongo wa kutunga kwa makusudi
 
Kweli watu wengi mna vichwa vya wenda wazimu, Muhongo ni kati ya vichwa vichache TZ vinavyoumiza wasio jali maslahi ya Taifa.Kubenea ataanzia wapi kama alithubutu kumwandama Mamnvi kwa ufisadi kwa muda wa miaka 7 Leo huyo huyo anamsafisha.Ajenda ya ufisadi upinzani hawiwezi tena!!

Kwa hiyo nyie ccm ufisadi mlijihalalishia?huna akili wewe.
 
Kweli watu wengi mna vichwa vya wenda wazimu, Muhongo ni kati ya vichwa vichache TZ vinavyoumiza wasio jali maslahi ya Taifa.Kubenea ataanzia wapi kama alithubutu kumwandama Mamnvi kwa ufisadi kwa muda wa miaka 7 Leo huyo huyo anamsafisha.Ajenda ya ufisadi upinzani hawiwezi tena!!

Waambie maana kumbukumbu zao ni 0-. Who is Kubenea by the way? Watu watu ni manyumbu kweli. Kazi yao ni kutaka kuua vichwa vyote vyenye akili nchi hii. Safari hii hata mzee machache alete hela dodoma Mhongo hangoki. Msilete chuki zenu binafsi. Escrow ilikuwa ni hela zenu? Hivi mnajua hata nn maana ya Escrow. Kama hela zilikuwa za umma zilikuwa zinafanya nn kwenye escrow account. Acheni kukakaririshwa ujinga. Someni basi angalau kidogo ili muelewe maana ya Escrow.
 
Kichwa cha habari! Kwani alijuzulu lini? Nadhani uteuzi wake ulitenguliwa!!!
Subiri bunge lianze, kurudi kwa Muhongo wizarani kutarejesha tena Escrow bungeni na safari hii Muhongo ataumia tena.
 
Back
Top Bottom