Gasy wa Ukweli
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 387
- 187
- Thread starter
- #61
Huyo wanamkata.. ubunge hapati na mwaka huu wakikukata ukachepuka wanabomoa hadi nyumba zako
haaaah mkuu kura 333 kwa 68 sasa unamkataje aisee? Any way tuwaachie maamuzi kamati kuu!!
uongozi ni kuacha alama