UTABIRI: Mrisho Gambo kuingia kwenye baraza la Mawaziri

Mpaka amshinde mwamba Lema,lakini akishinda ataanzia waziri mdogo kwanza kama mwenzake Makonda atakaeteuliwa viti maalum.Kumbuka Magufuli ana mawaziri wa kutosha kutokea kabinet ya nyuma.Pia Waziri Mkuu Majaliwa hataki bypass.
 
Kusimamia ujenzi wa Barabara Arusha, mitaa mingi ya Arusha now ina barabara za lami
Kusimamia mpango wa stand mpya ya Arusha kujengwa kutoka na plan
Ujenzi wa Shule ya Sekondari (Mrisho Gambo Secondary School)
Kusimamia ujenzi wa madarasa na nyumba za maaskari
Kusaidia wafanyabiashara wadogo wadogo bodaboda, wamama wauza sokoni ...etc....
Kusimamia ujenzi hospitali za wilaya.
Project kubwa ya Maji Arusha.

Mambo mengi amefanya watu wa Arusha wataendelea kuyataja.
Acha kulisha watu matango poriii, Stend gani unayoizunguzia?
 
I saw this coming,

And kawe ,

And kigamboni.

Binafsi I will run for Arumeru Magharibi Mungu akijalia 2025.
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Baraza la mawaziri vivuli ?
 
Mpaka amshinde mwamba Lema,lakini akishinda ataanzia waziri mdogo kwanza kama mwenzake Makonda atakaeteuliwa viti maalum.Kumbuka Magufuli ana mawaziri wa kutosha kutokea kabinet ya nyuma.Pia Waziri Mkuu Majaliwa hataki bypass.
uko sahihi kabsa mkuu
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.

Bila kuiba kura CCM haiwezi kushinda Arusha. Arusha mjini ni mji wa wachagga pale ndiyo kila kitu!
 
Katika watu wasiostahili third chance ni huyu jamaa, how in the world Kijana wa umri below 40 years anapewa chance twice anaharibu kwa the Same mistakes? Does that mean huyu Tanzania Hakuna watu competent?

Huyu kamkosea sana Magufuli..... tena sana! Alionywa korogwe hakusikia, kaja Arusha, kaonywa hakusikia, sasa Ana matumizi gani? Huyu hata ubunge hapati hata afanyaje!
Ubunge tayar ameshapata...pia hotuba ya Rais nadhani uliisikia pale Arusha.
 
Mleta mada utakuwa umevuta bangi.
Gambo kwa sasa ajipange tu kwenda kulima (maana ana mashamba mikoa fulani, nami aliwahi kunichongea dili la kupata shamba japokuwa sikufanikiwa, maana sikuwa kada wa CCM). Huko atatoboa fresh.

Issue za siasa kwa sasa aachane nazo, alishaharibu kwa jiwe na huku uraiani watu wengi wana visasi naye. (Akumbuke tu ile siku alipofiwa na mama yake au siku aliyotumbuliwa uRC namna watu wa Arusha walivyofurahi, kushangilia, kunywa na kulewa)

Kundi linalomchukia zaidi ni makada wa CCM wakiongozwa na UVCCM Arusha. Gambo kwa Arusha anachukiwa kuliko Corona.
Mkuu vipi nikupe bangi na wewe uvute
 
Poleni Sana na nchi yenu ya UTOPOLO
Vumbi litaongezeka na Vyuma vitakaza sio mchezo
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Swali kubwa je Amepita kihalari?kama ndvo basi sawa. Lakn kama sivyo haina mana hata kama angepewa uVC..ni batili na batili ni haramu!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Ubunge tayar ameshapata...pia hotuba ya Rais nadhani uliisikia pale Arusha.

Unajua kusema hafai wala hapati nilimaanisha, ni sawa na useme hatutegemei mtu wa form four afaulu matokeo ya form 6 maana is logical, lakini akapewa aingie na marking scheme ya Mwalimu na afaulu, then itabidi tuache kujadili maani ni kituko! Umeelewa sasa!
 
Unajua kusema hafai wala hapati nilimaanisha, ni sawa na useme hatutegemei mtu wa form four afaulu matokeo ya form 6 maana is logical, lakini akapewa aingie na marking scheme ya Mwalimu na afaulu, then itabidi tuache kujadili maani ni kituko! Umeelewa sasa!
Una maanisha form ni ukuu wa mkoa na form 6 ni ubunge??
Hakuna cha marking scheme wala nn Arusha watu wengi wa CCM wameenda kupiga kura..Mrisho alianza kujijenga mapema kutaka ubunge na ameupata
 
Back
Top Bottom