Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,131
- 35,173
Mleta mada utakuwa umevuta bangi.
Gambo kwa sasa ajipange tu kwenda kulima (maana ana mashamba mikoa fulani, nami aliwahi kunichongea dili la kupata shamba japokuwa sikufanikiwa, maana sikuwa kada wa CCM). Huko atatoboa fresh.
Issue za siasa kwa sasa aachane nazo, alishaharibu kwa jiwe na huku uraiani watu wengi wana visasi naye. (Akumbuke tu ile siku alipofiwa na mama yake au siku aliyotumbuliwa uRC namna watu wa Arusha walivyofurahi, kushangilia, kunywa na kulewa)
Kundi linalomchukia zaidi ni makada wa CCM wakiongozwa na UVCCM Arusha. Gambo kwa Arusha anachukiwa kuliko Corona.
Gambo kwa sasa ajipange tu kwenda kulima (maana ana mashamba mikoa fulani, nami aliwahi kunichongea dili la kupata shamba japokuwa sikufanikiwa, maana sikuwa kada wa CCM). Huko atatoboa fresh.
Issue za siasa kwa sasa aachane nazo, alishaharibu kwa jiwe na huku uraiani watu wengi wana visasi naye. (Akumbuke tu ile siku alipofiwa na mama yake au siku aliyotumbuliwa uRC namna watu wa Arusha walivyofurahi, kushangilia, kunywa na kulewa)
Kundi linalomchukia zaidi ni makada wa CCM wakiongozwa na UVCCM Arusha. Gambo kwa Arusha anachukiwa kuliko Corona.