Gasy wa Ukweli
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 387
- 187
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.