UTABIRI: Mrisho Gambo kuingia kwenye baraza la Mawaziri

Gasy wa Ukweli

JF-Expert Member
Nov 7, 2010
387
187
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.

Unaota mchana?
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Ameacha alama gani zaidi ya kugawa watu kidini? akitumia mwavuli huo ili waislamu wampe kura? tena kwa ushahidi wa mkuu wa nchi kupitia msikiti wa bondeni?

Amefanya nini zaidi ya chuki binafsi dhidi ya watendaji wasio na sigda kwenye uso?
Amefanya nini kulinganisha na Anna mghwira, Shigella , na wengine ?
Wwewe umetumwa uje kumuimbia pambio weakati kishatumbuliwa?
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Haituhusu, cha msingi katimuliwa kutoka mkoani kwetu wa wastaarabu
 
Hakuna mwana Arusha anayeweza kumkumbuka kwa mema aliyo yatenda
ameacha alama gani zaidi ya kugawa watu kidini? akitumia mwavuli huo ili waislamu wampe kura? tena kwa ushahidi wa mkuu wa nchi kupitia msikiti wa bondeni?

Amefanya nini zaidi ya chuki binafsi dhidi ya watendaji wasio na sigda kwenye uso?
Amefanya nini kulinganisha na Anna mghwira, Shigella , na wengine ?
Wwewe umetumwa uje kumuimbia pambio weakati kishatumbuliwa?
 
Hakuna mwana Arusha anayeweza kumkumbuka kwa mema aliyo yatenda
mema gani hayo zaidi ya kurudia rudia tu kusema mema memaa , alaa!
Wana Arusha wanakumbuka alimlaza LEMA CHRISTMAS HUKU WATOTO wa lema wakila sikukuu bila baba yao wakati yeye Gmbo akilala mount meru na familia yake, hilo ndio jema linalokumbukwa
 
Kusimamia ujenzi wa Barabara Arusha, mitaa mingi ya Arusha now ina barabara za lami
Kusimamia mpango wa stand mpya ya Arusha kujengwa kutoka na plan
Ujenzi wa Shule ya Sekondari (Mrisho Gambo Secondary School)
Kusimamia ujenzi wa madarasa na nyumba za maaskari
Kusaidia wafanyabiashara wadogo wadogo bodaboda, wamama wauza sokoni ...etc....
Kusimamia ujenzi hospitali za wilaya.
Project kubwa ya Maji Arusha.

Mambo mengi amefanya watu wa Arusha wataendelea kuyataja.
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
We n'gojwa nini? yaani Rais Tundu Lissu ampe uwaziri Gambo?
Au hujui nani Rais ajaye?
 
Back
Top Bottom