Labda amteue kuwa mbunge. Kwa kupitishwa kugombea ubunge jimbo la Arusha mjini Lema anapita saa 2 asubuhi! You can take this to the bank!Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Hamna cha maana hapo Ndugu GamboKusimamia ujenzi wa Barabara Arusha, mitaa mingi ya Arusha now ina barabara za lami
Kusimamia mpango wa stand mpya ya Arusha kujengwa kutoka na plan
Ujenzi wa Shule ya Sekondari (Mrisho Gambo Secondary School)
Kusimamia ujenzi wa madarasa na nyumba za maaskari
Kusaidia wafanyabiashara wadogo wadogo bodaboda, wamama wauza sokoni ...etc....
Kusimamia ujenzi hospitali za wilaya.
Project kubwa ya Maji Arusha.
Mambo mengi amefanya watu wa Arusha wataendelea kuyataja.
Labda amteue kuwa mbunge. Kwa kupitishwa kugombea ubunge jimbo la Arusha mjini Lema anapita saa 2 asubuhi! You can take this to the bank!
Kwani ndo kawa waziri
JESUS IS LORD
Kwa Taarifa yako Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antipas Lissu. Sasa jiulize Tundu Lissu atamchagua Mrisho Gambo kuwa Waziri????!Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Kwa Taarifa yako Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antipas Lissu. Sasa jiulize Tundu Lissu atamchagua Mrisho Gambo kuwa Waziri????!
Viti MaalumUtabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Jamaa haelewi, ana imani kali.sana kushinda hualisiaDaah mzee hichi kitu ni kigumu sana kutoa iwe jua iwe mvua Magufuli atashinda Urais
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
imepasuka vipi? asingepata hizo kura 333.Anashindaje ubunge wakati CCM ya Arusha imepasuka?
Magufuli hashindi uraisi mwaka huu. Amini au usiaminiDaah mzee hichi kitu ni kigumu sana kutoa iwe jua iwe mvua Magufuli atashinda Urais
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.