UTABIRI: Mrisho Gambo kuingia kwenye baraza la Mawaziri

Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Labda amteue kuwa mbunge. Kwa kupitishwa kugombea ubunge jimbo la Arusha mjini Lema anapita saa 2 asubuhi! You can take this to the bank!
 
Kusimamia ujenzi wa Barabara Arusha, mitaa mingi ya Arusha now ina barabara za lami
Kusimamia mpango wa stand mpya ya Arusha kujengwa kutoka na plan
Ujenzi wa Shule ya Sekondari (Mrisho Gambo Secondary School)
Kusimamia ujenzi wa madarasa na nyumba za maaskari
Kusaidia wafanyabiashara wadogo wadogo bodaboda, wamama wauza sokoni ...etc....
Kusimamia ujenzi hospitali za wilaya.
Project kubwa ya Maji Arusha.

Mambo mengi amefanya watu wa Arusha wataendelea kuyataja.
Hamna cha maana hapo Ndugu Gambo
 
IMG-20200820-WA0027.jpg
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Kwa Taarifa yako Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antipas Lissu. Sasa jiulize Tundu Lissu atamchagua Mrisho Gambo kuwa Waziri????!
 
Kwa Taarifa yako Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antipas Lissu. Sasa jiulize Tundu Lissu atamchagua Mrisho Gambo kuwa Waziri????!

Daah mzee hichi kitu ni kigumu sana kutoa iwe jua iwe mvua Magufuli atashinda Urais
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Viti Maalum
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.

NAUNGA MKONO HOJA YAKO, MIMI NI MKAZI WA ARUSHA NIPO NJEE KIKAZI, KUNA GENGE LA VIJANA WAKISOMALI HAPO ARUSHA, TUMEKUWA PAMOJA, KWA MUDA WA MWAKA SASA WALIKUWA WAKINIAMBIA MRISHO NDIYE MBUNGE WA ARUSHA AJAYE, NA WALIANZA KUMPIGIA DEBE BILA YEYE KUHUSIKA AU KUJUA, NIKAWAULIZA WHY?, WAKANIAMBIA BAADA YA KINANA HAWAJAONA KIONGOZI ANAYEIPENDA ARUSHA KAMA ARUSHA NA SIO MASLAHI YAKE AU YA CHAMA.

NIMEUONA UKWELI HUO MARA KADHA NIKIWA LIKIZO. GAMBO ANASTAHILI ARUSHA NA ARUSHA INASTAHILI KUMPATA GAMBO
 
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.

Kwa ubunge wa wapi? Labda atoe rushwa tena.
 
Serikali inayokuja kuundwa mara baada ya 28 oct ni serikali ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) alie na macho haambiwi tazama.
Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.

#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
 
Back
Top Bottom