Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,678
- 3,499
City itatolewa sababu ya Dharau, Ikacheze mpira ikijua inacheza na timu Bora Europe.
Ila sababu ya kuwa Madrid ni wabovu, sasa walifikaje hapo ?
Haya tupo hapa, ngoja tusubiri hizo dakika 180.
Ila sababu ya kuwa Madrid ni wabovu, sasa walifikaje hapo ?
Haya tupo hapa, ngoja tusubiri hizo dakika 180.