Yaya Toure kampiga Laana ya Uzeeni hahahaa.
comment ya ovyo kabisa
Yaya Toure kampiga Laana ya Uzeeni hahahaa.
Aisee mechi ijayo nabet correct scorePep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.
Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
🤣🤣🤣Real Madrid wachovu
Kujua mpira ukubwani bana
uliweka?Aisee mechi ijayo nabet correct score
city 2 mandrinda 0
Jana nilitaka nibet correct score 1-1 nikaogopa nikaweka GG..
Asante sana Mleta uzi
Sio kila siku ijumaaYaani Real Madrid waamue "sasa tunalitaka hili kombe" kuna kenge yoyote atakatiza mbele?
Njoo tena ukomment kenge weweMadrid wachovu umeifananisha labda na simba
Hui ndio ukweli ambao tangu mwanzo wafia timu walikuwa wanaukwepa. Wanadhani historia itawabeba kila sikuMadrid msimu huu hayuko vizur
Leo wamekuwa wa NBC PLlinapokuja suala la uefa, hao madread wanakuwa sio wale wa laliga
Lete matokeo fala weweReal madrid ya bamako
YametimiaNakazia na hao wote waliokutusi watakuja kuona aibu
Nasikia Benzema amepiga hatrickNaona wewe bado haumfahamu Benzema!