Utabiri: 2025 Upinzani utachomoza na kushinda viti vingi kupitia agenda ya Hayati Magufuli

Wapo na wataendelea kuwepo, mtaji wao mkubwa ni wananchi. Wapinzani wa Tanzania wana roho mbaya na hawako tayari kusaidia yoyote zaidi ya maisha yao. CCM ni bora kuliko wapinzani, siku wakija chukua nchi ndio mutaona makucha yao. Au tunadhania kukaa jela ni kwa ajili yetu sisi? Mbona sasa hivi hakuna hata anayetoka kuongelea mambo yanayotokea, wakati nyuma walikuwa hawalali asubuhi na usiku wanalalamika wakati nyuma maisha yanajulikana yalivyokuwa tofauti na sasa.
Upinzani upo isipokuwa lazima tuamini hakuna mpinzani mwenye nia njema na nchi hasa wananchi wenye kipato kidogo ambao hata wanyang'anywe hawawezi kuleta madhara yoyote.
Kugombea nchi si kwa ajili ya kuijenga, badala yake ni kwa ajili ya kujenga miradi na maisha yao binafsi. Kama mtu ni wa kwanza kupinga miundombinu kujengwa akidanganya wananchi kwamba hautokula barabara, wakati anajua fika barabara ni moja ya kuendeleza uchumi, basi huyo hafai hata kuwa diwani.
Mkuu umeongea kwa uzito mkubwa sana.

Je hauoni kama vile kuna upinzani wa kweli behind unakuja kwa kasi kubwa? CCM inaenda kushangazwa
 
atajayeiokoa ccm ni Samia wananchi wameanza kumwamini. watu wanamtazama mtu aliye juu kabisa hawajali kitu kinaitwa ccm
Wananchi gani hao?

Hakuna tumaini kwake. Anachemka hadi Msoga anatoka back bench kukemea wanaopungukiwa na imsni kwa Hangaya
 
Actually vina MASHIKO sana.

Ndio maana MAMBURULAAZZZ yenye vyeti feki yana hasira sana na mwamba wa Afrika JPM.

Tulichoshwa na UKILAZA, lazima waende shule wakaelimishwe ili wawe SMART na sio MBURULAAZZ.
 
Marehemu JPM hadi sasa ndiye kitisho kikubwa kwa mrithi wake ambapo Chawa Fc wanapambana bila kupumzika kuchafua kwa makusudi jina lake na legacy aliyoiasisi.

Eneo ambalo kwa haki kabisa marehemu hakulitendea haki ni Haki za Binadamu. Na eneo hilo alikuwa mkali kweli kweli kuanzia kwa watu wake chamani ambapo hilo lilikuwa ni sahihi mno. Lakini kuwabana upinzani wasitimize haki yao ya kikatiba ya kufanya siasa alikiuka sana sana utawala bora

Tuendelee kumuombea makamu Mwenyekiti CHADEMA aendelee kuimarika kiafya. Lisu ambaye ni ushuhuda wa namna awamu ya tano ilivyosimama bampa to bampa dhidi ya upinzani na fikra mbadala.

Alisimamia nidhamu serikalini na hata wakwapuaji mali ya umma walilia na kusaga meno.

Kinachoendelea leo ni namna CCM inavyosimamia mradi wa kumchafua hayati JPM ambapo inaamini kuwa inatengeneza mazingira ya kukubakiwa na wananchi. Kwa wanagenzi wa siasa nchini hawaoni ni shida ama changamoto kwa upinzani kumsema vibaya JPM kwa sababu macho yote yaliona kilichojiri kwenye medani ya siasa katika mhula wake.

Lakini chama cha CCM kuasisi kampeni za kumchafua Mwenyekiti wake Taifa awamu ya tano ni wazi kwamba kimeshika garasa tupu katika karata zake za kisiasa.

Wananchi waitwao WANYONGE walikuwa wanufaika wakubwa kwenye utawala wa JPM ambapo alisimama kuwatetea dhidi ya majambazi ya CCM ambayo bila huruma yanakwapua fedha za umma hata kufikia kuipiku serikali kwa ukwasi ilihali wao ni watumishi wa umma ambao hawana background ya utitiri wa utajiri huo.

Uchaguzi TAMISEMI 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025
Vyama vya upinzani vitaanza kutumia rasmi agenda ya Magufuli (positive na negative) kupambana na chama tawala na hatimaye vitachukua viti vingi vya serikali za mitaa, vijiji na vutongoji.... ambapo kuelekea 2025 ndipo CCM itaanza kunyweshwa dawa iliyoitengeneza yenyewe na itasababisha watu wengi kupigq kura za hasira dhidi yake. Lakini angalizo dogo ambalo halina umuhimu sana naliweka hapa. Intelejensia ya ndani ya CCM inapokea fungu kutokq Hazina. Mwenye akili na afahamu. Hao watasimama kujaribu kuokoa jahazi lakini hawatoweza kukwapua kama ilivyofanyika awamu zilizopita.

Kablq ya uchaguzi nchi itatikisika tena.

Nimeonq niyaseme haya sasa kwani kila kinavyokucha ndivyo CCM inavyosogelea mlango wa kutokea kwa speed isiyo ya kawaida.

Tuendelee kula nyama, mtori upo chini
Porojo,nitajie ajenda za Mwendazake watakazotumia.
 
Wameridhiana kuisema Serikali Kwa staha Hasa kwenye suala la njaa na mfumuko wa Bei na vitu vinavyosababisha Hali ngumu ya maisha.

Bt dalili za kufanyika uchaguzi mkuu 2025 Bado hazionekani😳😳
 
Wameridhiana kuisema Serikali Kwa staha Hasa kwenye suala la njaa na mfumuko wa Bei na vitu vinavyosababisha Hali ngumu ya maisha.

Bt dalili za kufanyika uchaguzi mkuu 2025 Bado hazionekani😳😳
Upo sahihi.

Maana yake ni kuwa hakuna wapinzani kwa sasa

Lakini 2025 upinzani utakuwepo
 
Marehemu JPM hadi sasa ndiye kitisho kikubwa kwa mrithi wake ambapo Chawa Fc wanapambana bila kupumzika kuchafua kwa makusudi jina lake na legacy aliyoiasisi.

Eneo ambalo kwa haki kabisa marehemu hakulitendea haki ni Haki za Binadamu. Na eneo hilo alikuwa mkali kweli kweli kuanzia kwa watu wake chamani ambapo hilo lilikuwa ni sahihi mno. Lakini kuwabana upinzani wasitimize haki yao ya kikatiba ya kufanya siasa alikiuka sana sana utawala bora

Tuendelee kumuombea makamu Mwenyekiti CHADEMA aendelee kuimarika kiafya. Lisu ambaye ni ushuhuda wa namna awamu ya tano ilivyosimama bampa to bampa dhidi ya upinzani na fikra mbadala.

Alisimamia nidhamu serikalini na hata wakwapuaji mali ya umma walilia na kusaga meno.

Kinachoendelea leo ni namna CCM inavyosimamia mradi wa kumchafua hayati JPM ambapo inaamini kuwa inatengeneza mazingira ya kukubakiwa na wananchi. Kwa wanagenzi wa siasa nchini hawaoni ni shida ama changamoto kwa upinzani kumsema vibaya JPM kwa sababu macho yote yaliona kilichojiri kwenye medani ya siasa katika mhula wake.

Lakini chama cha CCM kuasisi kampeni za kumchafua Mwenyekiti wake Taifa awamu ya tano ni wazi kwamba kimeshika garasa tupu katika karata zake za kisiasa.

Wananchi waitwao WANYONGE walikuwa wanufaika wakubwa kwenye utawala wa JPM ambapo alisimama kuwatetea dhidi ya majambazi ya CCM ambayo bila huruma yanakwapua fedha za umma hata kufikia kuipiku serikali kwa ukwasi ilihali wao ni watumishi wa umma ambao hawana background ya utitiri wa utajiri huo.

Uchaguzi TAMISEMI 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025
Vyama vya upinzani vitaanza kutumia rasmi agenda ya Magufuli (positive na negative) kupambana na chama tawala na hatimaye vitachukua viti vingi vya serikali za mitaa, vijiji na vutongoji.... ambapo kuelekea 2025 ndipo CCM itaanza kunyweshwa dawa iliyoitengeneza yenyewe na itasababisha watu wengi kupigq kura za hasira dhidi yake. Lakini angalizo dogo ambalo halina umuhimu sana naliweka hapa. Intelejensia ya ndani ya CCM inapokea fungu kutokq Hazina. Mwenye akili na afahamu. Hao watasimama kujaribu kuokoa jahazi lakini hawatoweza kukwapua kama ilivyofanyika awamu zilizopita.

Kablq ya uchaguzi nchi itatikisika tena.

Nimeonq niyaseme haya sasa kwani kila kinavyokucha ndivyo CCM inavyosogelea mlango wa kutokea kwa speed isiyo ya kawaida.

Tuendelee kula nyama, mtori upo chini
Mkuu uko sahihi, je unategemea kuja wapiga kura wa maana?
 
Marehemu JPM hadi sasa ndiye kitisho kikubwa kwa mrithi wake ambapo Chawa Fc wanapambana bila kupumzika kuchafua kwa makusudi jina lake na legacy aliyoiasisi.

Eneo ambalo kwa haki kabisa marehemu hakulitendea haki ni Haki za Binadamu. Na eneo hilo alikuwa mkali kweli kweli kuanzia kwa watu wake chamani ambapo hilo lilikuwa ni sahihi mno. Lakini kuwabana upinzani wasitimize haki yao ya kikatiba ya kufanya siasa alikiuka sana sana utawala bora

Tuendelee kumuombea makamu Mwenyekiti CHADEMA aendelee kuimarika kiafya. Lisu ambaye ni ushuhuda wa namna awamu ya tano ilivyosimama bampa to bampa dhidi ya upinzani na fikra mbadala.

Alisimamia nidhamu serikalini na hata wakwapuaji mali ya umma walilia na kusaga meno.

Kinachoendelea leo ni namna CCM inavyosimamia mradi wa kumchafua hayati JPM ambapo inaamini kuwa inatengeneza mazingira ya kukubakiwa na wananchi. Kwa wanagenzi wa siasa nchini hawaoni ni shida ama changamoto kwa upinzani kumsema vibaya JPM kwa sababu macho yote yaliona kilichojiri kwenye medani ya siasa katika mhula wake.

Lakini chama cha CCM kuasisi kampeni za kumchafua Mwenyekiti wake Taifa awamu ya tano ni wazi kwamba kimeshika garasa tupu katika karata zake za kisiasa.

Wananchi waitwao WANYONGE walikuwa wanufaika wakubwa kwenye utawala wa JPM ambapo alisimama kuwatetea dhidi ya majambazi ya CCM ambayo bila huruma yanakwapua fedha za umma hata kufikia kuipiku serikali kwa ukwasi ilihali wao ni watumishi wa umma ambao hawana background ya utitiri wa utajiri huo.

Uchaguzi TAMISEMI 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025
Vyama vya upinzani vitaanza kutumia rasmi agenda ya Magufuli (positive na negative) kupambana na chama tawala na hatimaye vitachukua viti vingi vya serikali za mitaa, vijiji na vutongoji.... ambapo kuelekea 2025 ndipo CCM itaanza kunyweshwa dawa iliyoitengeneza yenyewe na itasababisha watu wengi kupigq kura za hasira dhidi yake. Lakini angalizo dogo ambalo halina umuhimu sana naliweka hapa. Intelejensia ya ndani ya CCM inapokea fungu kutokq Hazina. Mwenye akili na afahamu. Hao watasimama kujaribu kuokoa jahazi lakini hawatoweza kukwapua kama ilivyofanyika awamu zilizopita.

Kablq ya uchaguzi nchi itatikisika tena.

Nimeonq niyaseme haya sasa kwani kila kinavyokucha ndivyo CCM inavyosogelea mlango wa kutokea kwa speed isiyo ya kawaida.

Tuendelee kula nyama, mtori upo chini
Mpaka sasa mzani unaonesha kwamba pamoja na kwamba CCM, CDM na ACT wameungana kupambana na JPM ambaye kiuhalisia ni mfu bado hawajaweza kumzidi NGUVU aliyonayo katika ulimwengu wa roho na nafsi za wanannchi kasoro baadhi ya wanasiasa wabadhirifu, wezi, mafisadi na waharifu wote. Miaka miwili imepita bila uwepo wake lakini walio hai wanapambana naye bila kushinda maajabu kweli
 
Back
Top Bottom