Usomaji wa chuo kikuu

Yan chuo disc inasaidia sanaaaaa, pia usiwecho kushare unachokijua na wenzako. Hasa kwenye disc
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
wengi wanaosoma kw discussion ni wale ambao unakuta hawahudhurii baadhi ya vipind/ hawakuelewa ...na hawawez/hawana muda wa kujisomea wao kama wao kutokana na sabab mbalimbali wanazozijua wao hvyo wao hupendelea zaidi discussion.
mimi binafsi huw najisomea peke yangu na ninapasua mitihani vzur tu...discussion naonaga napoteza muda tu..
 
Samahanini wapendwa Mimi ni mwanafunzi wa first year chuo kikuu natamani kujua. Njia nzuri au namna nzuri ya kusoma itakayonifanya nipate ufaulu mkubwa.Mfano sekondari tulitumia njia ya kusolve mitiani mingi na maswali mengi je chuo ni njia gani naweza kutumia
Bro cha muhimu...

Ni pesa.

Hilo bumu fanyia mtaji ufanye kijibiashara ukipendacho.

Gentleman GPA huku ukiwa na pochi nene INATOSHA SANAA.

Unaweza kusoma na kupata A zotee ila frankly speaking "AJIRA HAKUNA"

#YNWA
 
Discussion ni poa kama mna group assignment ambayo lazima mpresent as a group ili inakubebe kwenye course work
 
Bro cha muhimu...

Ni pesa.

Hilo bumu fanyia mtaji ufanye kijibiashara ukipendacho.

Gentleman GPA huku ukiwa na pochi nene INATOSHA SANAA.

Unaweza kusoma na kupata A zotee ila frankly speaking "AJIRA HAKUNA"

#YNWA
Ajira zipo na hata ukipata ajira ni muhimu kufanya biashara. Hizo gentleman GPA ni hasara tupu kwa mtu mwenye malengo.
 
Ajira zipo na hata ukipata ajira ni muhimu kufanya biashara. Hizo gentleman GPA ni hasara tupu kwa mtu mwenye malengo.
Braza Nilipata ajira serikalini na GPA ya 2.8.
Na sasa Nina masters ya GPA ndogoo na soon naenda kuchukua PhD na kitamaliza ya GPA ndogoo.

Rafiki yangu mkubwa ni IT wizara fulani Tena ni IT mkubwaa ila bachelor alipata 2.2 GPA.

Form 4 nilipataga Div 1.11 ila sikuwahi kujua umuhimu wake zaidi ya upuuzi tu.
Maana hata wale wa C flat (div 3) nilikutana nao advance.

The issue is not GPA the issue is what next after great GPA?

Tafuta hela broo achana na hayo makaratasi.

Katika kitu ambacho huwa nawaambia Hawa wadogo zangu huku nilipo "Being average at school it's also enough"

Huna haja ya kupata ma A mengiii, chakufanya HAKIKISHA UNAFAULU TU.

#YNWA
 
Kwanza hakikisha hudoji lectures na unamuelewa lecturer vizuri. Na kama vipi usikae back benches ili usikie pindi vizuri.na mahudhurio ni muhimu maana sometimes kuna un announced quizzes zinazoshtukizwa muda wa kipindi so kama umedoji ndiyo unaanza kupoteza marks za course work.

Tenga muda wako wa kujisomea tena ikiwezekana kabla hujasahau topic aliyofundisha lecturer hakikisha unarudia na kuielewa zaidi, nenda Library, tumia Google or materials zozote zilizopo hakikisha umeelewa vizuri.

Nenda Discussion pia ili kujipima katika vitu mnavyodiscuss unavielewa, umevipitia, hakikisha unachangia ili vizidi kustick kichwani.

Pitia pastpapers, hii itakupa confidence kwamba ulichosoma unaweza kujibia mtihani, pia kuna baadhi ya maswali huwa yanarudiwa,nakumbuka nikiwa chuo kabla sijaingia lecture 1 hivi kuna past paper niliipitia ilikua na 20 qns, nikacheki majibu Google niliokua siyajui so nikawa nimeelewa hivi, hamad tumeingia pindi tu ticha kasema put everything aside bakiza pen tu kuna quiz duh kagawa quiz kufungua kitu kile kile nilichotoka kupitia nikatabasamu, nakumbuka i scored 20 out of 20 kwa mara ya kwanza chuo😂. Na kuna paper nyingine ilikuja ngumu hiyo nikapata zero yaani sifuri 0😂.

So seriousness inahitajika chuo katika kila unachofanya maana kina impact kwenye GPA yako utakayoondoka nayo ukimaliza. Hugongewi kengele wala hulazimishwi kwenda prepo or class ila ni muhimu mno kuzingatia ratiba yako.

All the best, kumbuka unategemewa na taifa lako ili uje undeleze kulijenga so kaza buti.💪
 
0120910291029.png
 
Pamoja na ushauri mwingi na mzuri uliopewa ila usiwachukulie poa wazee wa zima moto.
 
Ushauri wa mwisho fanya sana discussion tena muwe mnabishana kidogo utajua vingi kusoma mwenyewe jau sana
 
Braza Nilipata ajira serikalini na GPA ya 2.8.
Na sasa Nina masters ya GPA ndogoo na soon naenda kuchukua PhD na kitamaliza ya GPA ndogoo.

Rafiki yangu mkubwa ni IT wizara fulani Tena ni IT mkubwaa ila bachelor alipata 2.2 GPA.

Form 4 nilipataga Div 1.11 ila sikuwahi kujua umuhimu wake zaidi ya upuuzi tu.
Maana hata wale wa C flat (div 3) nilikutana nao advance.

The issue is not GPA the issue is what next after great GPA?

Tafuta hela broo achana na hayo makaratasi.

Katika kitu ambacho huwa nawaambia Hawa wadogo zangu huku nilipo "Being average at school it's also enough"

Huna haja ya kupata ma A mengiii, chakufanya HAKIKISHA UNAFAULU TU.

#YNWA
Yaliyokushinda wenzio wanayaweza musee
 
Kwanza kabisa tungejua upo chuo gani inakua rahis kusuggest mbinu ya kusoma kwa chuo husika sabab kuna vyuo hawatoi notes kabisa ila kikubwa ni kujisomea alone kwa chuo ni mbinu nzuri sana hiyo yani disc 20% msuli 80% ila ukinambia chuo ntakupa mbinu extra mfano sauti ( main campus ) inabid usolve pepa ya UE iliyopita kwenye kozi husika uhakika maswali kujirudia ni 70% kwa ⅓ ya walimu wa kozi zote
 
Sifanyagi discussion ila nina GPA ya 4.5 hapo unasemaje Mkuu?
Sasa unge mix na discusion huoni kama unhekua na 4.8 au 4.9? Kiuhalisia Sio kila mtu anaweza disc na sio kila mtu anaweza kusoma alone.

All in all, i can say njia bora ya kusoma ni 60% alone plus 40% discusion.
 
Sasa unge mix na discusion huoni kama unhekua na 4.8 au 4.9? Kiuhalisia Sio kila mtu anaweza disc na sio kila mtu anaweza kusoma alone.

All in all, i can say njia bora ya kusoma ni 60% alone plus 40% discusion.
GPA ya 4.5 inategemea n chuo gani pia usikute MTU anasema ana 4.5 kumbe n SAUT university

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom