Usiyoyafahamu kuhusu Malawi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Malawi ni nchi isiyo na bahari iko kusini mwanTanzania. Mpaka 2006 wananchi wa Malawi hawakuhitaji visa kuingia Uingereza. Visa ilianza baada ya Wanigeria wengi kuingia Uingereza kwa passport za Malawi.

Kuna Hospital Lilogwe ambayo ni maalum kwa wataalamu wa kigeni na watalii wanaoishi na kutembelea Malawi. Wafanya kazi wa hospital hii baada ya kufanya kazi kwa miaka miwili wana uwezo wa kuomba kazi moja kwa moja katika wizara ya afya ya Uingereza National Health Services.
 
Malawi ni nchi isiyo na bahari iko kusini mwanTanzania. Mpaka 2006 wananchi wa Malawi hawakuhitaji visa kuingia Uingereza. Visa ilianza baada ya Wanigeria wengi kuingia Uingereza kwa passport za Malawi.

Kuna Hospital Lilogwe ambayo ni maalum kwa wataalamu wa kigeni na watalii wanaoishi Malawi. Wafanya kazi wa hospital hii baada ya kufanya kazi kwa miaka miwili wana uwezo wa kuomba kazi moja kwa moja katika wizara ya afya ya Uingereza National Health Services.
Kwaiyo kipindi kile wanasema ziwa Nyasa lakwao walikuwa wanapewa kiburi na England
 
Nasikia UK ndio walimu hasi Kamuzu Banda eti alikuwa karibu na Malkia wakahisi asije aka mduu? je ni kweli Sky Eclat au ni hadithi tu?
 
Katika Mji wao mzuri wao wa Blantyre wana Barabara kuu moja tu ya Limbe ikipita kwenya uwanja wa mpira wa Kamuzu Banda. Mwisho wa barabara kuna maduka ya Wasukuma wengi yanaitwa swahili shops. Ila Wanatupenda sana Watanzania kwa kipindi cha miezi tisa niliyoishi pale niliwatafuta mno. Tatizo moja, Malawi ni kama Zambia na Zimbabwe hawana wanawake warembo. Nilichopenda Wamalawi hawajui 'kubagain' bei ya kitu, yaani wakienda dukani au sehemu yoyote kununua wakiambia ni kwacha 500 hawawezi kusema nipunguzie. Ukiomba tu kupunguziwa wanajua wewe ni Mbongo. Wana usafiri mzuri wa mabasi kutoka Blantyre hadi Johannesburg. Blantyre ni mji mzuri sana. Bia yao ni aina mbi tu Carlsberg na Carlsberg special malt. Ila kwa sasa wana import castle lager kutoka South. Mji wa Lilongwe ndio mbaya zaidi umejengwa hovyo hovyo tu sikuupenda nilikaa siku moja tu.
 
najikuta ghafla kutamani kutembelea nchi hiyo gharama zake zikoje yaani hotel, usafiri, viza kwa kukaa siku tatu ukitokea dar kwa ndege au aina nyingine ya usafiri.
pia je kuna fursa gani zinazoweza kutufaa watu wenye mijaji midogo na ya kati.
 
najikuta ghafla kutamani kutembelea nchi hiyo gharama zake zikoje yaani hotel, usafiri, viza kwa kukaa siku tatu ukitokea dar kwa ndege au aina nyingine ya usafiri.
pia je kuna fursa gani zinazoweza kutufaa watu wenye mijaji midogo na ya kati.
Kama wewe ni apeche alolo kuna boat Matema Beach zinakupeleka Malawi
 
Back
Top Bottom