Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,367
Wana pombe moja ni Aina ya kiroba inapicha ya nyati kagima kichwa chini.. Ni pombe Kali mno..Kuna pombe gani huko maarufu
Wale twambombo wenzangu wa kyela wanaitambua vzr sana
Wana pombe moja ni Aina ya kiroba inapicha ya nyati kagima kichwa chini.. Ni pombe Kali mno..Kuna pombe gani huko maarufu
Halafu vitu vyao bei nafuu Sana tofauti na huku kwetu..Katika Mji wao mzuri wao wa Blantyre wana Barabara kuu moja tu ya Limbe ikipita kwenya uwanja wa mpira wa Kamuzu Banda. Mwisho wa barabara kuna maduka ya Wasukuma wengi yanaitwa swahili shops. Ila Wanatupenda sana Watanzania kwa kipindi cha miezi tisa niliyoishi pale niliwatafuta mno. Tatizo moja, Malawi ni kama Zambia na Zimbabwe hawana wanawake warembo. Nilichopenda Wamalawi hawajui 'kubagain' bei ya kitu, yaani wakienda dukani au sehemu yoyote kununua wakiambia ni kwacha 500 hawawezi kusema nipunguzie. Ukiomba tu kupunguziwa wanajua wewe ni Mbongo. Wana usafiri mzuri wa mabasi kutoka Blantyre hadi Johannesburg. Blantyre ni mji mzuri sana. Bia yao ni aina mbi tu Carlsberg na Carlsberg special malt. Ila kwa sasa wana import castle lager kutoka South. Mji wa Lilongwe ndio mbaya zaidi umejengwa hovyo hovyo tu sikuupenda nilikaa siku moja tu.
Oyaaa temana na dem wanguSky Eclat nitakuoa unipe story kedekede
do! issue kuogelea sasa iki mv nyerere natokaje?Kama wewe ni apeche alolo kuna boat Matema Beach zinakupeleka Malawi
Katika Mji wao mzuri wao wa Blantyre wana Barabara kuu moja tu ya Limbe ikipita kwenya uwanja wa mpira wa Kamuzu Banda. Mwisho wa barabara kuna maduka ya Wasukuma wengi yanaitwa swahili shops. Ila Wanatupenda sana Watanzania kwa kipindi cha miezi tisa niliyoishi pale niliwatafuta mno. Tatizo moja, Malawi ni kama Zambia na Zimbabwe hawana wanawake warembo. Nilichopenda Wamalawi hawajui 'kubagain' bei ya kitu, yaani wakienda dukani au sehemu yoyote kununua wakiambia ni kwacha 500 hawawezi kusema nipunguzie. Ukiomba tu kupunguziwa wanajua wewe ni Mbongo. Wana usafiri mzuri wa mabasi kutoka Blantyre hadi Johannesburg. Blantyre ni mji mzuri sana. Bia yao ni aina mbi tu Carlsberg na Carlsberg special malt. Ila kwa sasa wana import castle lager kutoka South. Mji wa Lilongwe ndio mbaya zaidi umejengwa hovyo hovyo tu sikuupenda nilikaa siku moja tu.
Narudua tena kukuambia temana na demu wangu. Shauri yako[/QUOTE
Acha kuni kwoti mkuu
Dunia hii ina mengi sana tuliyofichwaMakaburu waliifuatilia ile chopa iliyombeba alikuwa na document za muhimu walizozihitaji na ndege ilipoanguka waliziwahi
Wanigeria ndio binadam wanaoongoza kwa janja janja hapa africa wapo kila nchi kutafuta fursaWanigeria wajanja kinoma. Sisi tupo hapa karibu hatukuona fursa wao wametoka mbali huko wakapiga mishe.
Mie naona afadhali Malawi... Wazimbabwe na Zambia ni wabovu saana.Katika Mji wao mzuri wao wa Blantyre wana Barabara kuu moja tu ya Limbe ikipita kwenya uwanja wa mpira wa Kamuzu Banda. Mwisho wa barabara kuna maduka ya Wasukuma wengi yanaitwa swahili shops. Ila Wanatupenda sana Watanzania kwa kipindi cha miezi tisa niliyoishi pale niliwatafuta mno. Tatizo moja, Malawi ni kama Zambia na Zimbabwe hawana wanawake warembo. Nilichopenda Wamalawi hawajui 'kubagain' bei ya kitu, yaani wakienda dukani au sehemu yoyote kununua wakiambia ni kwacha 500 hawawezi kusema nipunguzie. Ukiomba tu kupunguziwa wanajua wewe ni Mbongo. Wana usafiri mzuri wa mabasi kutoka Blantyre hadi Johannesburg. Blantyre ni mji mzuri sana. Bia yao ni aina mbi tu Carlsberg na Carlsberg special malt. Ila kwa sasa wana import castle lager kutoka South. Mji wa Lilongwe ndio mbaya zaidi umejengwa hovyo hovyo tu sikuupenda nilikaa siku moja tu.
kuna uhusiano Gani Kati ya Malawi na uingerezaMalawi ni nchi isiyo na bahari iko kusini mwanTanzania. Mpaka 2006 wananchi wa Malawi hawakuhitaji visa kuingia Uingereza. Visa ilianza baada ya Wanigeria wengi kuingia Uingereza kwa passport za Malawi.
Kuna Hospital Lilogwe ambayo ni maalum kwa wataalamu wa kigeni na watalii wanaoishi na kutembelea Malawi. Wafanya kazi wa hospital hii baada ya kufanya kazi kwa miaka miwili wana uwezo wa kuomba kazi moja kwa moja katika wizara ya afya ya Uingereza National Health Services.
Wabongo wameshindikana,kwenye utafutaji hawana mpinzaniunanikumbusha Blantaya, Lilongwe, Muzuzu, Chitipa duu nchi ngumu ile kutafutia pesa lakini wabongo walipiga sana pesa kwenye mitumba ya nguo na vyombo vya ndani
Lilongwe, Mzuzu na Blantyre ni miji mikuu ya mikoa ya kati (Central), kaskazini (Nothern) na kusini (Southern).Dah Mke Wangu kasoma Malawi ,huwa ananihadithiaga , kuhusu mikoa yao mitatu ..Lilongwe... Mzuzu na Blantyre