Vitu bei nafuu mbona wao ndiyo wanatoa vitu hapa wanaenda kuuza kule? Sana sana magodoro, ndoo, deki na vitu kama hivyo. Mmalawi mmoja akaniambia godoro ambalo huku ni la kawaida la 4*6 inchi 6 linanunuliwa bei ya godoro la inchi kumi la Dodoma la hapa la 6*6.Halafu vitu vyao bei nafuu Sana tofauti na huku kwetu..
Mm tangu mdogo mpaka utu uzima nmetumia bidhaa za marawi
Kumbe now Tz Ingekuwa kubwa zaidi?Nakumbuka samora Machel alisema anaenda Zambia alirudi yeye na Nyerere waichape Malawi halafu wagawane,maskini Machel ndio hakurudi mzima
Nalog off
Ndiyo. Kusini, Kati na Kaskazini. Miji mikuu ya mikoa ikiwa Blantyre, Lilongwe na Mzuzu.Wana mikoa mi3 tu au
Kwa waliokuwepo mkoa wa Mbeya miaka ya 1960 - 1970, watamkumbuka mganga mkuu "Chikanga" aliyekuwa Malawi - alikuwa tishio sana.Kuna uchawi hukoooo ni shida
Hakuna visa ya kutafuta kabla kwa mtanzania anayetaka kutembea Malawi. Passport yako inatosha. Visa (ya mwezi moja) hugongwa kwenye passport unapofika Malawi.najikuta ghafla kutamani kutembelea nchi hiyo gharama zake zikoje yaani hotel, usafiri, viza kwa kukaa siku tatu ukitokea dar kwa ndege au aina nyingine ya usafiri.
pia je kuna fursa gani zinazoweza kutufaa watu wenye mijaji midogo na ya kati.
double punchKuna pombe gani huko maarufu
Mkuu wakati nipo malawi wenyeji waliniambia visa ya canada ni simple kuipata sijui unafahamu vipi kuhusu hili jambo?
Nipo hapa karonga we upo wapi dear Sky EclatMalawi ni nchi isiyo na bahari iko kusini mwanTanzania. Mpaka 2006 wananchi wa Malawi hawakuhitaji visa kuingia Uingereza. Visa ilianza baada ya Wanigeria wengi kuingia Uingereza kwa passport za Malawi.
Kuna Hospital Lilogwe ambayo ni maalum kwa wataalamu wa kigeni na watalii wanaoishi na kutembelea Malawi. Wafanya kazi wa hospital hii baada ya kufanya kazi kwa miaka miwili wana uwezo wa kuomba kazi moja kwa moja katika wizara ya afya ya Uingereza National Health Services.
carlsberg,amstel lager,budwiser etcKuna pombe gani huko maarufu
mademu wa malawi ni wachafu sana hawajui kuvaa ila ukiwa mbongo ni kama umetoka jberg dream kubwa ya wamalawi ni kutembelea/kufika DAR ES SALAM wanaita DaraKatika Mji wao mzuri wao wa Blantyre wana Barabara kuu moja tu ya Limbe ikipita kwenya uwanja wa mpira wa Kamuzu Banda. Mwisho wa barabara kuna maduka ya Wasukuma wengi yanaitwa swahili shops. Ila Wanatupenda sana Watanzania kwa kipindi cha miezi tisa niliyoishi pale niliwatafuta mno. Tatizo moja, Malawi ni kama Zambia na Zimbabwe hawana wanawake warembo. Nilichopenda Wamalawi hawajui 'kubagain' bei ya kitu, yaani wakienda dukani au sehemu yoyote kununua wakiambia ni kwacha 500 hawawezi kusema nipunguzie. Ukiomba tu kupunguziwa wanajua wewe ni Mbongo. Wana usafiri mzuri wa mabasi kutoka Blantyre hadi Johannesburg. Blantyre ni mji mzuri sana. Bia yao ni aina mbi tu Carlsberg na Carlsberg special malt. Ila kwa sasa wana import castle lager kutoka South. Mji wa Lilongwe ndio mbaya zaidi umejengwa hovyo hovyo tu sikuupenda nilikaa siku moja tu.
Ahsante nilichanganya madesa,ila aliambia khs kuwa wana mikoa 3 tuLilongwe, Mzuzu na Blantyre ni miji mikuu ya mikoa ya kati (Central), kaskazini (Nothern) na kusini (Southern).
aseee kwa maana hiyoSehemu kubwa ya Land bado iko chini ya settlers, Dr Banda hakuwanyang’anya baada ya uhuru.
Ndiyo maana hakuelewana na mwalimu Nyerere, hakushiriki kabisa katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika baada ya yeye kuwa rais.aseee kwa maana hiyo
hata Mugabe angefanya ya kina Mandela na Banda bado angekuwepo kitini?
huyo Banda hakuwa kweli agent?
nakumbuka kuna mahali niliwahi sikia Banda og alikufa but wakamchukua mzungu na kumfanyia plastic surgery kuna ka ukweli hapo???
Wamejaa masaki na msasani..wanaume wengi wa malawi hufanya kazi za ulinzi Dar huku wanawake wao wengi ni mahouse maids Dsm.
Na ile Mikocheni AWamejaa masaki na msasani..
kwa maana hiyo.Ndiyo maana hakuelewana na mwalimu Nyerere, hakushiriki kabisa katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika baada ya yeye kuwa rais.
Ule wakati wa kuiwekea vikwazo Africa ya Kusini yeye ndiyo wakikuwa marafiki zake.