pmwasyoke
Platinum Member
- May 27, 2010
- 4,894
- 3,587
Hiyo imani ya ziwa Nyasa kuwa lote lao bado wanayo. Wanashindwa cha kufanya tu!Kwaiyo kipindi kile wanasema ziwa Nyasa lakwao walikuwa wanapewa kiburi na England
Hiyo imani ya ziwa Nyasa kuwa lote lao bado wanayo. Wanashindwa cha kufanya tu!Kwaiyo kipindi kile wanasema ziwa Nyasa lakwao walikuwa wanapewa kiburi na England
Wachina wameshafika huko ?Malawi ni nchi isiyo na bahari iko kusini mwanTanzania. Mpaka 2006 wananchi wa Malawi hawakuhitaji visa kuingia Uingereza. Visa ilianza baada ya Wanigeria wengi kuingia Uingereza kwa passport za Malawi.
Kuna Hospital Lilogwe ambayo ni maalum kwa wataalamu wa kigeni na watalii wanaoishi na kutembelea Malawi. Wafanya kazi wa hospital hii baada ya kufanya kazi kwa miaka miwili wana uwezo wa kuomba kazi moja kwa moja katika wizara ya afya ya Uingereza National Health Services.
Fyekelea mbaliiiiChikichii chikichi eeeh..
Nilishawahi kuwa huko kikazi kwa muda wa mwaka mmoja na nusu. Nilikuwa Blantyre...nikiishi sehemu inaitwa Namiwawa.
Wamalawi ni wakarimu sana. Nilipendelea sana Samaki aina ya chewa na vyakula vyao kwa ujumla.
Ukikutana na mwanamke wa kiMalawi mzuri anakuwa mzuri kweli kweli. Huwa naenda kutembea kila wakati ninapopata nafasi.
Kama umeshafika Zambia,Zimbabwe,Malawi na Msumbiji utanielewa nimemaanisha nini!"Ukikutana na mwanamke wa kimalawi mzuri anakuwa mzuri kweli kweli". Tafadhali mkuu fafanua hii kauli yako, kwani ukikutana na mwanamke wa kiTZ mzuri hawi mzuri kikweli kweli??😁😁
Kama umeshafika Zambia,Zimbabwe,Malawi na Msumbiji utanielewa nimemaanisha nini!
Asilimia kubwa ya wanawake wa maeneo hayo wamefanana na babu/baba zao. Ndio maana nikasema ukikutana na mwanamke wa kiMalawi mzuri anakuwa mzuri kweli kweli kwa msisitizo.
Bullshit..."A woman beauty is in the eyes of the beholder "
Yani wanaigeria wanaharibu image ya Africa.. We can't even date wazungu kisa tunaonekana tunatafuta papers wakati watu ni wasomiMalawi ni nchi isiyo na bahari iko kusini mwanTanzania. Mpaka 2006 wananchi wa Malawi hawakuhitaji visa kuingia Uingereza. Visa ilianza baada ya Wanigeria wengi kuingia Uingereza kwa passport za Malawi.
Kuna Hospital Lilogwe ambayo ni maalum kwa wataalamu wa kigeni na watalii wanaoishi na kutembelea Malawi. Wafanya kazi wa hospital hii baada ya kufanya kazi kwa miaka miwili wana uwezo wa kuomba kazi moja kwa moja katika wizara ya afya ya Uingereza National Health Services.
Bullshit...