Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
HahahahaHako kapangaboi ketu umekaweka hapo ili iweje, unatuaibisha mkuu

HahahahaHako kapangaboi ketu umekaweka hapo ili iweje, unatuaibisha mkuu

Kwa kweli kukosa uzalendo ndo kumetufikisha hapa tulipo yani had mataifa mengine hutoona .,..,........ Kabisa yani. Nguo zinaenda kushoneshwa Malaysia badala ya bongo I'll hela ibaki Tanzania kwa washonaji wetu, kiruuuuu kama taifa tuna shida we don't care about our country.Watu watakula wapi Madam?Unashangaa hilo la twiga?
Watu walikuwa wanashonesha sare za Airhostess Singapore na Malaysia.Na mtu wa kuzisubilia anakaa huko miezi3 mpaka zimalize kushoneshwa!Ni mwendo wa ma-perdiem na nights za kujiachia
Unafikili kataenda wapi tena?kandege ketu jamani.....au katakuwa kanaenda Chato tu.
hahahaha sasa inabidi Ajenge Reli ya dharura chatomwenyewe angukuwa anasoma hiz comments haki ya nan angeenda kupiga mnada ndege zake akanunue vichwa vya train tu, watanzania burudani sana
Emirate hawakuanza na ndege, walipogundua mafuta cha kwanza waliwataka waingereza na wamarekani wawape social security services na ndiyo ukaona wata wa UAE wakawa wanapata elimu bure tena nzuri, wakaanza kupata makazi, wasio na uwezo wakapewa social security package,watu wakapewa uhuru wa kuwa watu raia wa nchi za himaya ile.Kila kitu kina umuhimu wake katika kujadili mustakabali wa nchi........Kwa kujifunza ya Fly Emirates tunaona wapo tulipokosea na nini tufanye...
Nipe offer basi....wewe si mzoefu.Nilishasafiri nao kama Mara nne hivi wapo vzrv sana vinywaji vyakula habari internet movies games etc nawakubali
Kabisa na kila mtu kuwa mbinafsi na tumbo lake.Kutothamini Mali zetu na inasikitisha Sana lakini hakuna namna
Basi kanabahati......kanaenda kwa sijalibiwi.Unafikili kataenda wapi tena?
Ya kwetu
![]()
Wenzetu!
![]()
yaani pangaboi yetu inachekesha sana waifiche kabisa wasiioneshe oneshe
watatucheka watuWa sasa hivi kama kateguliwa miguu au ana matege ya Selgado.
Alibadirishwa kipindi cha Mataka,na uliza aliyebuni huyo twiga mpya alikula shilingi ngapi?Utazimia

Panga.... ndoroboooo wewe si bora uchukue gazeti ujipeee.Ndio mkuu, Airbus A380 upande wa Business class juu ndani kupo hivyo. Hiyo ni counter ya Bar iliyopo upande wa Mkiani.
hahahaha mkuu umenichekesha sana eti two toys!!!!! me nmeshangaa enzi zile anaanza kuingia alikuwa anatupigia story za boeing mara airbus akawa anapiga bei zake roughly!!!! sasa hivi nashangaa pangaboy meeen!!!! af naskia kinapiga makelele hichooo!!!!!Halafu, badala ya kununua two toys kwanini tusingenunua moja tu ya ukweli??
Hiyooondege ya kati n full of lossYa kwetu
![]()
Wenzetu!
![]()
Kama umepaste hujuii anachofanya hata ukipanda bure hutoelewa mileleHuyu mtu hapa mbele na hivi vipangaboi anakuwa anafanyaje?wajuvi wa mambo tuambiane...Kazi ya huyu dada/kaka hapa mbele inakuwa ni nini?
View attachment 405049
Maana ana vipangaboi mkononi
Nakushauri uhamie Rwanda au Kenya mbona ni rahisi tuMwenye picha ya pangaboi yetu please aniwekee hapa ili nione na sisi kumbe tumo
KUKUSAIDIA SIKU NINYINGINE USIPASTE MIMBA...NAMBA MOJA.TATU TANO N NDEGE MOJA KWATAARIFAYAKO ANGALIA REG..NO MOJA NA NAMBA TATUNATANO(UMEBADILI DIR)TUZANDEGELakini tuliwahi kuwa na vitu kama hivi mkuu
tunaanza upya! We have a long way to go! Jiulize viko wapi sasa. Hivi vilikuwepo hata kabla hatujaanza kuchimba madini mengi na kuwa na gesi kama sasa. Jiulize Nyerere alimudu vipi tena tukiwa katika siasa hasa ya ujamaa na kujitegemea. Waliompokea sasa ndio wakaingia mnadani kuuza viwanda na mashirika ya umma kwa bei ya kutupa. Leo nchi zote zilizokuja kupata uhuru baada ya sisi zimetupita kwa mbali sana!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndege sioo biashara ya Mpesa kaka inaitaji kuwa NA reg kuchekiwa NA tcaa NA mengineyoo msihizi mlivyojaza Mpesa kila sehemu sawa NA biashsra ya ndegeTena ya kwetu bado imehifadhiwa pale Terminal 1 jeshini ikisubiri wakubwa waione ndiyo ifanye biashara.