Usiyofahamu kuhusu Fly Emirates

Usiyofahamu kuhusu Fly Emirates

Lakini tuliwahi kuwa na vitu kama hivi mkuu
tunaanza upya! We have a long way to go! Jiulize viko wapi sasa. Hivi vilikuwepo hata kabla hatujaanza kuchimba madini mengi na kuwa na gesi kama sasa. Jiulize Nyerere alimudu vipi tena tukiwa katika siasa hasa ya ujamaa na kujitegemea. Waliompokea sasa ndio wakaingia mnadani kuuza viwanda na mashirika ya umma kwa bei ya kutupa. Leo nchi zote zilizokuja kupata uhuru baada ya sisi zimetupita kwa mbali sana!
14449980_528878907321358_2330775271543497926_n.jpg
14369981_528878977321351_8558839635295389530_n.jpg
14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg
14355612_528879077321341_2990740269030714411_n.jpg



14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg
Tena yakwetu ilikuwa inafanana rangi naya obama
 
Hako kandege ka Tz sipandi siwezi poteza hela yangu kupanda ndege za toleo la babu zangu..Tz walahii tumelogwa bora tungefufua viwanda hata viwil vijana wapate ajira baadae wote tupande ndege..
Hako kandege kaone hivyo tu lakini 90% ya wa Tz wataishia kuiangalia juu angani,Tv na magazetini
 
Jamani.....si mumpe muda 'panga boy' akuwe. Jet zikianza kuota makwapani automatikale yale mapanga yatakatika. It is nachuro jamani....!
 
Huyu mtu hapa mbele na hivi vipangaboi anakuwa anafanyaje?wajuvi wa mambo tuambiane...Kazi ya huyu dada/kaka hapa mbele inakuwa ni nini?
View attachment 405049
Maana ana vipangaboi mkononi
Mkuu huyu ni muongoza ndege...hawa wanaitwa "Marshaller"....kazi yao ni kumuongoza rubani anapokuwa ametua chini.
Hii kazi akifanya miaka kumi lazima masikio yazibe...Maana kelele zote za ndege lazima azisikie.Hivi huyo ni mwanamke?sijawahi kuona mwanamke kwa kazi hizo hapa Bongo...
 
Mimi nadhani tuna shida kwenye maarifa. Ignorance is killing our nation. mtu anajua maswala ya social sciences, lakini yeye ndio wa kwanza kutoa analysis ya ndege za turboprop vs jet....daah
 
Watanzania tunajikana sana dah, hv usipokishabikia cha kwako nan atakuja kukipenda!?tujifunze kupenda vyetu,mwlm nyerere alishatutoa kwenye ukoloni amkeni kifikra tokeni kwenye huo ushamba mambo leo...
 
Back
Top Bottom