Usiyofahamu kuhusu Fly Emirates

Usiyofahamu kuhusu Fly Emirates

Hivi mkoa WA Rwanda na Mkoa wa Burundi wanamiliki boing sisi hatuña?,Mungu yupo tutamiliki tu ipo siku
 
Nasikia hilo Pangaboi limenunuliwa kwa bei ya kutupwa kama ilivyokuwa lile boti la Bagamoyo.
 
Wako vizuri lakini wananiudhi tu baadhi ya ndege zao ni kajamba nani yaani kativii kamoja kama kwenye basi mtoe macho mpaka shingo ziume
 
Lakini tuliwahi kuwa na vitu kama hivi mkuu
tunaanza upya! We have a long way to go! Jiulize viko wapi sasa. Hivi vilikuwepo hata kabla hatujaanza kuchimba madini mengi na kuwa na gesi kama sasa. Jiulize Nyerere alimudu vipi tena tukiwa katika siasa hasa ya ujamaa na kujitegemea. Waliompokea sasa ndio wakaingia mnadani kuuza viwanda na mashirika ya umma kwa bei ya kutupa. Leo nchi zote zilizokuja kupata uhuru baada ya sisi zimetupita kwa mbali sana!
14449980_528878907321358_2330775271543497926_n.jpg
14369981_528878977321351_8558839635295389530_n.jpg
14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg
14355612_528879077321341_2990740269030714411_n.jpg



14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg
Kumbe Tz tulikuwa na midege mikubwa hapo kabla, nani aliziuza ndege zetu ili tumtegeshe shingo yake kwenye pangaboi zetu mpya zimkate kichwa!!? Inauma sana! Nawachukia sana waliotuhujumu.
 
Shirika la ndege la Emirates linasifika kuwa na ndege za gharama na kifahari sana duniani ambapo wanasema kuwa wana ndege za abiria 235 na ndege 15 kwa ajili ya kuchukua mizigo na bado wanaendelea kuagiza ndege zingine kutokana na uhitaji uliopo.

Kulingana na takwimu za mwaka 2014 wameweza kufungua matawi mengine duniani ikiwemo ya ndege za mizigo na jumla ya destinations wanazotembelea ni 155 katika nchi 81.

Licha ndege hizo kuwa na uwezo wa kusafirisha watu wengi kwa wakati mmoja yako mazuri mengine kwa upande wa Entertainment ambapo unaposafiri na ndege za Emirates unaweza kuangalia zaidi ya channel 2200, zaidi ya movies 500 kutoka duniani kote, kuna zaidi ya channel za muziki zaidi ya 1000, kuna video games zaidi ya 100 na pia unaweza ukatumia USB yako kuangalia movies au kusoma documents zako.

Akizungumza na Ayo TV na millardayo.com, Mhudumu wa Ndege za Emirates, Theresia Sudi amesema…….

>>>’Emirates in offer value for money services ambayo unaona faida ya kutumia pesa zako unaponunua tiketi yako kuanzia unapotoka nyumbani mpaka unapofika sehemu unayokwenda, tuna uwezo wa kukuunganisha kwa haraka, hauna haja ya kusubiri sana airport kwa mfano unatoka Tanzania unafika pale Dubai kwa sababu tuna ndege nyingi tuna uwezo wa kukuunganisha kwa haraka zaidi’ FLY EMIRATES HELLO TOMORROW
View attachment 404856 View attachment 404857 View attachment 404858 View attachment 404859
makao makuu ya hili shirikA yapO wapI?
 
Ila inauma sana.....nchi hii imekuwa shamba la bibi. Tunachagua watu wa kutuongoza ambao ni mufilisi kimawazo. Ngoja tumuache JPM japo afanye mabadiliko. Tulisha miliki ndege sasa ilibaki kuwa kichekesho.
 
Inauma kwakweli kwa hili tumerudi kwenye sifuri. Kuna watu wametusaliti katika hili. Tulisha miliki ndege za maana. Wahuni waliuza wakanywea bia. Tumpe muda JPM angalau naona ana nia nzuri na nchi hii. Ila wajinga wajinga wote wapishe wanaoweza kufanya kazi.
 
Matapanda hiyo hiyo mkitaka ziuzeni .. sijui sasa mtawauzia nani wakati mnaziponda.. ha ha ha
 
Emirates, Qatar, KLM, hutajutia kwa masafa marefu. They're absolutely nice.
 
Ya kwetu
14433024_654570548030309_5529311005230874522_n.jpg



Wenzetu!
14354895_1142425882511997_1664021227758755375_n.jpg
Tumechelewa sanaa,tumeharibu mashirika yetu ya uma na kufika tulipofika kwa ufisadi uliolelewa na chama tawala, na leo tumeshindwa kesi na kutakiwa kulipa mabilioni mengi kwa SCBank. Sasa si vibaya kuanzia na tulipoanzia, hata mbuyu ulianza kama mchicha. CAG aongezewe fungu la kutosha ili afanye kazi yake kwa ufanisi hasa kwenye mashirika haya ya uma.Mkuu wa kaya atumbue majipu halisi na si vijipu uchungu, soon tutawapita hata wenzetu.
 
Mkuu Tulimumu udesi huoo!!
Uganda na Burundi hawana ndege hata za dawa....Labda hao Rwanda na Kenya.Lkn hata Kenya kwenye KQ wana 29% tu,nyingine ni za KLM na Familia ya Uhuru Kenyata.Walau sisi sasa tuna ndege tatu na zote ni 100% Gvt.

Ila jamani mnapondaaa!!!Loooh
Team mpya. Team TUSIONAJEMA.
 
Ndege sioo biashara ya Mpesa kaka inaitaji kuwa NA reg kuchekiwa NA tcaa NA mengineyoo msihizi mlivyojaza Mpesa kila sehemu sawa NA biashsra ya ndege

Walitangulia Canada kwa shughuli hiyo ndiyo maana in registration tayari. ukaguzi ulifanywa na TCAA na wamesema wazi wazi kuwa iko vizuri sana na tayari kwa shughuli.
Hivi wakianza ukaguzi saa hii wa hiyo panga boy na wakakuta ina hitilafu watairudisha huko walikoinunua? Everything is done just waiting official inauguration to fly!!!!
 
Wako vizuri lakini wananiudhi tu baadhi ya ndege zao ni kajamba nani yaani kativii kamoja kama kwenye basi mtoe macho mpaka shingo ziume

ckipato watu wanatofautiana mkuu hizo kitivii kimoja sawa na pangaboi letu inawezekana ndo ndege yao ya thamani ya chini
 
Ni kawaida masikini kulalamika,haishi kulalamika wala kuridhika..... Ukimpa mia kama una sh elfu moja ataona ni kama umemuonea na una roho mbaya..
Huyo ndo maskini, hana shukraniiii!!!
 
Back
Top Bottom