sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
hahahaaa.............na watazaliwa wadogo zake akishakua.Bado kachanga ili katakuwaga tu
hahahaaa.............na watazaliwa wadogo zake akishakua.Bado kachanga ili katakuwaga tu
Hata Mimi ndo naishangaa ila si haba na panga boi letu tena rais ataenda kuizindua. Hivi walioziuza za mwanzo walichukuliwa hatua gani??Mkuu....
Tuliwahi kumiliki ndege kubwa na za kisasa kuliko hiyo Dash 7/8.
Hapa lakujiuliza ni, je zipo wapi zile ndege kubwa tena nzuri na zakisasa?
ushawahi kuwatumia?Wana HUDUMA nzuri sana nawakubali

hahahaa...........na akuna ambae anamjaribu.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Alisha sema yeye hajaribiwi
Asante kwa maelezo mazuri nilikua sifahamu nilivosikia mapanga boi na kupitia comments tofauti nikajua ni ndege za karne zilizopita.View attachment 404965 View attachment 404966
Ndio Diva Beyonce hizi ni latest version!!Maana hizi Dash8 kuna Q100/200/300/400
Sasa Q400 ndio latest model....Unajua kimsingi ndege zote zina pangaboi,isipokuwa hizi za ATCL zipo kwa nje,wakati zile za ndege kama hii picha ya Emirates pangaboi zake zimefunikwa tu kwa ndani na ndio maana ya jet.
Sabb moja ya kitu kinachotofautisha ndege moja na aina nyingine ni vitu kadhaa.Kwanza ni Fuselage(body),Wings,Engines,Landing Gears etc.
Kwa hiyo ndio maana kuna ndege za Jet Injini na Prop Injini.Aina ya injini haimaanishi kuwa ndege hii ni kizamani.Sasa ndege imetengenezwa Feb 2015 itakuwaje ya 20th?
Unaona zote zina mapanga,sema hii yapo nje na nyingine yapo ndani...Tuna uashabiki fulani hivi hata ukimuelezea mtu anaona kama unalipwa na Jumba jeupe,kumbe mambo mengine hayahitaji siasa Madam
KWA KUCHAGUA CCMdah tumemkosea nini Mungu jamani.
Hahaaaaaaa aiseee hivi atabunije twiga wakati anajulikana au ndo ujanja ujanja tuWa sasa hivi kama kateguliwa miguu au ana matege ya Selgado.
Alibadirishwa kipindi cha Mataka,na uliza aliyebuni huyo twiga mpya alikula shilingi ngapi?Utazimia
Nkakukoshazaki katonda, nkakukoshezaki? nkakukoshezaki alha nkakukoshezaki??dah tumemkosea nini Mungu jamani.
my dear ndiyo umeandika nini.?Nkakukoshazaki katonda, nkakukoshezaki? nkakukoshezaki alha nkakukoshezaki??
mie sijawahi tangia nizaliwe.KWA KUCHAGUA CCM
Nilishasafiri nao kama Mara nne hivi wapo vzrv sana vinywaji vyakula habari internet movies games etc nawakubaliushawahi kuwatumia?
Watu watakula wapi Madam?Unashangaa hilo la twiga?Hahaaaaaaa aiseee hivi atabunije twiga wakati anajulikana au ndo ujanja ujanja tu
Kutothamini Mali zetu na inasikitisha Sana lakini hakuna namnadah tumemkosea nini Mungu jamani.
Kila kitu kina umuhimu wake katika kujadili mustakabali wa nchi........Kwa kujifunza ya Fly Emirates tunaona wapo tulipokosea na nini tufanye...Hivi tujiulize ni waTZ wangapi wanaelewa maana ya hizi ndege kuwapo angani? Mimi ni mtumiaji wa ndege ndiyo lakini naona haisaidii kitu kuliko kama tungeonglelea dawa za kinga zilizokeosekana kwenye clinics zetu na tunaona madege yanakuja tu. Mimi sawa nitalipa thousand of dollars kwenda nitakako je. binamu yangu atapataje kinga ya polio, suria na nyingine kama serikali nalipa marubani wa ndege hizo kwanza?
Wasomi wengi ndio wajinga yaani inasikitisha tunaanza upya na tunaonekana kama underdog kabisa kwenye tasnia ya angaHalafu najiuliza hizi ndege zitarudisha kweli hizo pesa walizotumia kuzinunua? Maana ni mabilioni ambayo yangeweza kutatua tatizo la maji kabisa dsm. Sasa wamepaki wanasubiri nini? Gharama za uendeshaji zitakuwaje? Hivi Nyerere aliwezaje kufanya mambo makubwa kiasi kile halafu wasomi wanashindwa?! Yaani maviwanda, mashirika kama hayo ya ndege aliweza kuanzisha wakati huo tulikuwa tunachimba almasi tu. Sasa hivi tunachimba kila aina ya madini, tuna gesi, mbuga za wanyama nk lakini bado ni shida. Sasa tumefika wakati ndio tunaibiwa mpaka wanyama kabisa huku tukiwa macho kabisa na vifaa vya kisasa kuwaona wezi. Katika enzi hii ya viongozi wasomi wa ngazi ya Phd, maprofesa ndio tunashindwa kesi kila siku na kutakiwa kulipa fidia ya mabilioni. Ndio enzi ambazo watu wanagawana migao ya mabilioni ya pesa za umma EPA, Escrow kama njugu. Mtu ana lala anaamka anakuta amewekewa bilioni 1.6 halafu anatoa milioni 10 za mboga. Ndio nyakati tunazoweka ma milioni kama cha juu kwenye ununuzi wa rada nk nk nk. You can't believe. Yaani hata kama Nyerere alifanya makosa ili kuwa ni ya kibinaadamu na ilikuwa ni kwa maaendeleo ya watu wote sio kujinufaisha yeye mwenyewe.
Those days...Lakini tuliwahi kuwa na vitu kama hivi mkuu
tunaanza upya! We have a long way to go! Jiulize viko wapi sasa. Hivi vilikuwepo hata kabla hatujaanza kuchimba madini mengi na kuwa na gesi kama sasa. Jiulize Nyerere alimudu vipi tena tukiwa katika siasa hasa ya ujamaa na kujitegemea. Waliompokea sasa ndio wakaingia mnadani kuuza viwanda na mashirika ya umma kwa bei ya kutupa. Leo nchi zote zilizokuja kupata uhuru baada ya sisi zimetupita kwa mbali sana!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()