Usiyofahamu kuhusu Fly Emirates

Usiyofahamu kuhusu Fly Emirates

kamwulize katibu wa chama kama hata mashine ya kuchapisha magazeti ilinunuliwa mpya Bulgaria ilivyokuja ikawekwa stoo walivyosahau kidogo ikauzwa na asiyejulukana na kwa bei isiyojulikana na kwa sasa tunapeleka flash pale MCL kwa wafanyabiashara wa Kenya kuprint hapo ujue hata izo boing za Nyerere walizifanya ivyo ivyo

Wewe mweeeeh acha uchochezi watakumaliza wenyewe wakipita hapa.
Yaani unamaanisha hata gazeti la chama pendwa linapigwa chapa pale Tabata Relini ama kweli makubwa.
 
Lakini tuliwahi kuwa na vitu kama hivi mkuu
tunaanza upya! We have a long way to go! Jiulize viko wapi sasa. Hivi vilikuwepo hata kabla hatujaanza kuchimba madini mengi na kuwa na gesi kama sasa. Jiulize Nyerere alimudu vipi tena tukiwa katika siasa hasa ya ujamaa na kujitegemea. Waliompokea sasa ndio wakaingia mnadani kuuza viwanda na mashirika ya umma kwa bei ya kutupa. Leo nchi zote zilizokuja kupata uhuru baada ya sisi zimetupita kwa mbali sana!
14449980_528878907321358_2330775271543497926_n.jpg
14369981_528878977321351_8558839635295389530_n.jpg
14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg
14355612_528879077321341_2990740269030714411_n.jpg



14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg

Ivi hizi zilienda wapi ziliibiwa, zilichukuliwa na wanaotudai au zipo kwenye matengenezo au zilipotea
 
Ivi hizi zilienda wapi ziliibiwa, zilichukuliwa na wanaotudai au zipo kwenye matengenezo au zilipotea
Labda tuwaulize akina Mkapa et al walizipeleka wapi. Bora wangeacha hata scrapa tukaziweka hapo ikulu ambapo itakuwa jumba jipya lla mkumbusho baada ya JPM kuhamia Dodoma.
 
Ndio mkuu, Airbus A380 upande wa Business class juu ndani kupo hivyo. Hiyo ni counter ya Bar iliyopo upande wa Mkiani.
Wacha nijikusanye na mimi nipasue anga na dege hilo nadhani baada ya miaka 5 kabla nitakuwa hai nitakuwa nimepata ka nauli
 
Tena ya kwetu bado imehifadhiwa pale Terminal 1 jeshini ikisubiri wakubwa waione ndiyo ifanye biashara.
Halafu najiuliza hizi ndege zitarudisha kweli hizo pesa walizotumia kuzinunua? Maana ni mabilioni ambayo yangeweza kutatua tatizo la maji kabisa dsm. Sasa wamepaki wanasubiri nini? Gharama za uendeshaji zitakuwaje? Hivi Nyerere aliwezaje kufanya mambo makubwa kiasi kile halafu wasomi wanashindwa?! Yaani maviwanda, mashirika kama hayo ya ndege aliweza kuanzisha wakati huo tulikuwa tunachimba almasi tu. Sasa hivi tunachimba kila aina ya madini, tuna gesi, mbuga za wanyama nk lakini bado ni shida. Sasa tumefika wakati ndio tunaibiwa mpaka wanyama kabisa huku tukiwa macho kabisa na vifaa vya kisasa kuwaona wezi. Katika enzi hii ya viongozi wasomi wa ngazi ya Phd, maprofesa ndio tunashindwa kesi kila siku na kutakiwa kulipa fidia ya mabilioni. Ndio enzi ambazo watu wanagawana migao ya mabilioni ya pesa za umma EPA, Escrow kama njugu. Mtu ana lala anaamka anakuta amewekewa bilioni 1.6 halafu anatoa milioni 10 za mboga. Ndio nyakati tunazoweka ma milioni kama cha juu kwenye ununuzi wa rada nk nk nk. You can't believe. Yaani hata kama Nyerere alifanya makosa ili kuwa ni ya kibinaadamu na ilikuwa ni kwa maaendeleo ya watu wote sio kujinufaisha yeye mwenyewe.
 
Ya kwetu
14433024_654570548030309_5529311005230874522_n.jpg



Wenzetu!
14354895_1142425882511997_1664021227758755375_n.jpg
Mkuu Tulimumu udesi huoo!!
Uganda na Burundi hawana ndege hata za dawa....Labda hao Rwanda na Kenya.Lkn hata Kenya kwenye KQ wana 29% tu,nyingine ni za KLM na Familia ya Uhuru Kenyata.Walau sisi sasa tuna ndege tatu na zote ni 100% Gvt.

Ila jamani mnapondaaa!!!Loooh
 
Mkuu Tulimumu udesi huoo!!
Uganda na Burundi hawana ndege hata za dawa....Labda hao Rwanda na Kenya.Lkn hata Kenya kwenye KQ wana 29% tu,nyingine ni za KLM na Familia ya Uhuru Kenyata.Walau sisi sasa tuna ndege tatu na zote ni 100% Gvt.

Ila jamani mnapondaaa!!!Loooh
Hivi barafu hizi pangaboi ni za karne hii au ya 20 maana mi huona sana zisizo na mapanga
 
Back
Top Bottom