MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,159
- 6,574
A380Hiyo picha ya tatu hapo ni baa ndani ya dege hilo?
A380Hiyo picha ya tatu hapo ni baa ndani ya dege hilo?
Etihad airways nao wazuri sana
Aisee tulikuwa na midege ya hatari kama ya vita....!Lakini tuliwahi kuwa na vitu kama hivi mkuu
tunaanza upya! We have a long way to go! Jiulize viko wapi sasa. Hivi vilikuwepo hata kabla hatujaanza kuchimba madini mengi na kuwa na gesi kama sasa. Jiulize Nyerere alimudu vipi tena tukiwa katika siasa hasa ya ujamaa na kujitegemea. Waliompokea sasa ndio wakaingia mnadani kuuza viwanda na mashirika ya umma kwa bei ya kutupa. Leo nchi zote zilizokuja kupata uhuru baada ya sisi zimetupita kwa mbali sana!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
recently nimesafiri nao toka Narita (japan) to Abudhabi then to Dar es salaam wanastahili kabisa kuwa shirika boraetihad wamechukua tuzo mwaka huu ya shilika bora la ndege duniani za ATW(air transport world) 2016View attachment 405466
Nazo ni panga boyHivi mlishawahi kuziona ndege za jirani yetu kwa chini...yaani wamakonde au nchumbiji?
![]()
Kumbe ndege ina injiniMnapiga kelele wengine hata ndege ya injini moja hamjawahi kupanda
Kumbe Tz tulikuwa na midege mikubwa hapo kabla, nani aliziuza ndege zetu ili tumtegeshe shingo yake kwenye pangaboi zetu mpya zimkate kichwa!!? Inauma sana! Nawachukia sana waliotuhujumu.
recently nimesafiri nao toka Narita (japan) to Abudhabi then to Dar es salaam wanastahili kabisa kuwa shirika bora
Yaani we acha tu tumeuza ng'ombe halafu tukanunua kuku!Aisee tulikuwa na midege ya hatari kama ya vita....!
Hiyo lugha unayoitumia mimi siifahamu!KUKUSAIDIA SIKU NINYINGINE USIPASTE MIMBA...NAMBA MOJA.TATU TANO N NDEGE MOJA KWATAARIFAYAKO ANGALIA REG..NO MOJA NA NAMBA TATUNATANO(UMEBADILI DIR)TUZANDEGE
CHA KUONGEZEA USIPASTE UNYOKO TENA NAMBA MBILI HIO NDEGE NII YAKUKODISHA SIO YA ATCL FOR UR INFO..ZILILETWA MBILI NA SAA 5HMVZ ,,MVK...KIUJUMLA NDEGEYA ATC N MOJA TU ..USIPASTE TOKA KWAWATU AGAIN