Usiyofahamu kuhusu Fly Emirates

Usiyofahamu kuhusu Fly Emirates

Etihad airways nao wazuri sana

etihad wamechukua tuzo mwaka huu ya shilika bora la ndege duniani za ATW(air transport world) 2016
Photo-1_DEMAND-TAKES-OFF-FOR-ABU-DHABI-GRAND-PRIX-TICKETS.jpg
 
Lakini tuliwahi kuwa na vitu kama hivi mkuu
tunaanza upya! We have a long way to go! Jiulize viko wapi sasa. Hivi vilikuwepo hata kabla hatujaanza kuchimba madini mengi na kuwa na gesi kama sasa. Jiulize Nyerere alimudu vipi tena tukiwa katika siasa hasa ya ujamaa na kujitegemea. Waliompokea sasa ndio wakaingia mnadani kuuza viwanda na mashirika ya umma kwa bei ya kutupa. Leo nchi zote zilizokuja kupata uhuru baada ya sisi zimetupita kwa mbali sana!
14449980_528878907321358_2330775271543497926_n.jpg
14369981_528878977321351_8558839635295389530_n.jpg
14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg
14355612_528879077321341_2990740269030714411_n.jpg



14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg
Aisee tulikuwa na midege ya hatari kama ya vita....!
 
recently nimesafiri nao toka Narita (japan) to Abudhabi then to Dar es salaam wanastahili kabisa kuwa shirika bora

wako vizuri sana pamoja na Qatar safi tutafika inshaallah ila na imani kama sio lile shirika la zamani kufa tungekua kama emirates asee (nasubiri mapovu)
 
Yakwetu ni nzuri kwa kuwa ni nyepesi kwa kwenda mbele! inamwendo kasi
 
KUKUSAIDIA SIKU NINYINGINE USIPASTE MIMBA...NAMBA MOJA.TATU TANO N NDEGE MOJA KWATAARIFAYAKO ANGALIA REG..NO MOJA NA NAMBA TATUNATANO(UMEBADILI DIR)TUZANDEGE

CHA KUONGEZEA USIPASTE UNYOKO TENA NAMBA MBILI HIO NDEGE NII YAKUKODISHA SIO YA ATCL FOR UR INFO..ZILILETWA MBILI NA SAA 5HMVZ ,,MVK...KIUJUMLA NDEGEYA ATC N MOJA TU ..USIPASTE TOKA KWAWATU AGAIN
Hiyo lugha unayoitumia mimi siifahamu!
 
Back
Top Bottom