Usithubutu kuomba mkopo Bank of Africa (BOA)

Usithubutu kuomba mkopo Bank of Africa (BOA)

fufumajeusi

Senior Member
Joined
Dec 21, 2024
Posts
148
Reaction score
254
usije sema sikusema, jamaa yangu kaa aplai loan alikua na immediate cause kwenye mfumo wao ,mpaka sasa wiki imepita kwenye mfumo wao inasoma complete disbursed ila kwenye account hakuna pesa imeingia ,akiwapigia hawatoi ushirikiano wowotee.
 
Mambo ya kiofisi sio ya kupiga simu, aende straight office zao,
yuko mkoani,napia loan huwa inataratibu zake na amezifata wame zi approve msaala kwenye kuingiziwa hela ndio kimya till date
 
yuko mkoani,napia loan huwa inataratibu zake na amezifata wame zi approve msaala kwenye kuingiziwa hela ndio kimya till date
Point issue nzito za ki office ni nzuri kutokea uso kwa uso. Mtu anaweza pokea simu na akatelekeza au asipokee na huku muhusika ukaendelea taabika. Sie yunafanya kazi sana ka mazoea
 
Point issue nzito za ki office ni nzuri kutokea uso kwa uso. Mtu anaweza pokea simu na akatelekeza au asipokee na huku muhusika ukaendelea taabika. Sie yunafanya kazi sana ka mazoea
mkuu, simu yao ya kiofisi kabisa then hawa toi ushirikiano, nikaenda kwenye instagram page yao nako wana lalamikiwa sana na wateja kuwa hawatoi loan zaidi ya 2weeks sasa. kitu ambacho ni tofauti na Nmb,crdb nk
 
Point issue nzito za ki office ni nzuri kutokea uso kwa uso. Mtu anaweza pokea simu na akatelekeza au asipokee na huku muhusika ukaendelea taabika. Sie yunafanya kazi sana ka mazoea
0800 78 1122,022 221 4001 namba zao hizo lkn bado bila bila na mshikaji alikuwa na immediate cause alipanga kui solve
 
malalamiko ya wadau huko instagramu kwenye page yao
 

Attachments

  • Screenshot_20250808-102008.png
    Screenshot_20250808-102008.png
    131.9 KB · Views: 30
  • Screenshot_20250808-102008.png
    Screenshot_20250808-102008.png
    131.9 KB · Views: 37
Kwa nini umemtumia jamaa ambae ajakopa kwani ukisema umekopa hiyo bank na wanakusumbua kukuwekea hela ambayo wao washamaliza kila kitu utapata kesi kwa nini unazungukia Iringa..
nizungukie wapi mkuu?
 
Back
Top Bottom