USISOME ikiwa una Aleji ya MAFANIKIO, PESA ama UTAJIRI

Nxt Millionaire

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
406
89
Ni wazi kuwa Watanzania wengi wana mtazamo HASI juu ya MAFANIKIO, PESA ama UTAJIRI,
hauitaji Rocket Science kujua hilo, angalia michango mbalimbali juu ya FURSA za kujiongezea kipato ama mafanikio ama kutajirika utagundua jambo hilo.

Katika utafiti wangu usio rasmi, asilimia 70 ya comment kuhusu topic hizo huwa ni NEGATIVE, nimekuwa najiuliza ni kwanini???

Mwanafalsafa mmoja aliwai sema, namnukuu, "What you can't address, you cant arrest"

Frank Loyd Wright anasema "The thing always happens that you really believe in; and the belief in a thing makes it happen."
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif][/FONT]

Hii yamaanisha nini, kwamba ukiamini kushindwa, umasikini ndivyo vitakutokea, pia usipoweza kuwa na fikra chanya kuhusu UTAJIRI, MAFANIKIO au PESA, uwezi kutajirika, uwezi pata mafanikio na uwezi pata pesa, hata Biblia yathibitisha hilo inaposema "aonavyo mtu rohoni mwake ndivyo alivyo"

Najua nitawakwaza baadhi yenu, nisameheni, lakini nimeonya kuwa USISOME kama una ALEJI na vitu hivyo.
Mbarikiwe nyote, asiye na ALEJI anitafute tupeane mawazo 0176927070, Siku Njema na Idd Njema pia.
 
Mkuu nakuaminia mambo ya GNLD Hayo. Na ningeshangaa kama usingeweka namba ya simu. N usishangae kwa nini watu hawajachangia kwa sababu wameisha jua unataka kuzungumzia nini.
 
Kuna na mawazo positive kuhusu pesa, mafanikio na utajiri wakati huna uwezo wa kufika hatua hiyo ni useless reassurance. Shida kubwa ya makala kama hizi mnalinganisha mtanzania wa kawaida na mtu kama Azam, Mengi sijui nahi wakati hao watu ni mabig fish. It's really unfair comparison!

Tukubali tu kwamba watanzania wengi hatuna start-up capital na elimu ya biashara
 
Kuna na mawazo positive kuhusu pesa, mafanikio na utajiri wakati huna uwezo wa kufika hatua hiyo ni useless reassurance. Shida kubwa ya makala kama hizi mnalinganisha mtanzania wa kawaida na mtu kama Azam, Mengi sijui nahi wakati hao watu ni mabig fish. It's really unfair comparison!

Tukubali tu kwamba watanzania wengi hatuna start-up capital na elimu ya biashara
Easy!join freemason ukajizolee mihela.
 
Duh! kaaazi kweli kweli, so far michango yadhiirisha ukweli wa uzi, yuko bwana mmoja aliwai sema kuwa, inabidi ushinde moyoni au ndani kabla ya kushinda nje yaani kupata matokeo chanya.
Waliofanikiwa wote, waliona mafanikio ndani kabla hayajawa dhahiri kwa nje.
 
Mkuu nakuaminia mambo ya GNLD Hayo. Na ningeshangaa kama usingeweka namba ya simu. N usishangae kwa nini watu hawajachangia kwa sababu wameisha jua unataka kuzungumzia nini.

"Nothing can stop the man with the right mental attitude from achieving his goals; nothing on earth can help the man with wrong mental attitude."
Thomas Jefferson,

Komandoo, wathibitisha uzi, ni wapi pametamkwa ulosema? au una gnld-phobia? pole sana, sizungumzii hicho bali IDEAS. by the way nilion
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=4449120
 
Mito, cjui wamaanisha rivers! kama ndivyo sishangai comment yako maana sote twajua kuwa mito upitisha maji na kujaza maziwa ama bahari.

Reach high, for stars lie hidden in your soul, dream deep for every dream precedes the goal.
Those people you mentioned believed in their sweet dreams and practise the prayer of faith that, whatever the mind of man can conceive and believe it can achieve, you too have the chance to do the same, you change your name to lake or ocean, the choice is 100% yours. God bless
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=4449120
 
If you think you are beaten, you are.
If you think you dare not, you don't.
If you like to win but think you can't
It is almost certain you won't.

If you think you'll lose, you're lost.
For out of this world we find
Success begins with a fellows' will.
It's all in the state of mind.

If you think you are outclassed, you are.
You've got to think high to rise;
You've got to be sure of yourself before
You can ever win a prize.

Life's battles don't always go
To the strongest or fastest man;
But soon or later the man who wins
Is the man who thinks he can.

 
If you think you are beaten, you are.
If you think you dare not, you don't.
If you like to win but think you can't
It is almost certain you won't.

If you think you'll lose, you're lost.
For out of this world we find
Success begins with a fellows' will.
It's all in the state of mind.

If you think you are outclassed, you are.
You've got to think high to rise;
You've got to be sure of yourself before
You can ever win a prize.

Life's battles don't always go
To the strongest or fastest man;
But soon or later the man who wins
Is the man who thinks he can.


Mkuu salute.

image002-797800.jpg
 
"Grew Up A Screw Up"
(feat. Young Jeezy)

[Notorious B.I.G. sample:] "I grew up a ****ing screw-up
Got introduced to the game, to the game then ****ing blew up"

[Intro: Ludacris speaking over B.I.G. sample repeated]
Yeah! Dedicated to all my hustlers that's a product of they environment
Whether getting money legally or ILLEGALLY
We gotta do what we gotta do to survive man!
Yeah! Grew up a screw up baby
Got introduced to the game, I ain't took a breath yet
Let's go!

[Ludacris]
Ever since I was an embryo, waiting to shape up and ship out
Something in my brain said, "Wake up and kick out!"
Roberta and Wayne stayed up and flipped out
Cause when I came I was draped up and dripped out
Snip the umbilical, spit the government chip out
Peace up, A-Town down and then I dipped out
And oh my gosh, the Osh Kosh was picked out
I slipped in, even my baby stroller was tricked out
Somebody get him, the little nigga's out of control
Put a little bit of rum in my bottle I'll dream about diamonds and gold
Gold gold, to grow from an infant to toddler was effervescent
The essence of adolescence got my body feeling freshen
freshing freshing, and it was a blessing to rhyme and start rapping
I was the best in my section with flows hard than erections
Still the best but now I'm grown with more range than a Texan
And I'm a heavyweight you niggas is lighter than my complexion

[Chorus: Notorious B.I.G. sample variations repeat 4X]

[Young Jeezy]
Ayyyy
Y'all already know what it is
I'ma tell you nigga
C.T., know what it is, 'bout 17-5

Homey fronted me a sip, shit I made it a bird
That's seventeen and a half, all I need is the word
Say the, ice is cool but them pots is hot
You better cook slow but that money come fast
I got what you need I hope you brought all the cash
You know the kid pimping all over the world
A hundred carats got me all over your girl
YEAH, five freaks and my Gucci duffle bag
A corporate thug, I run with a Playaz Circle
I got a Field Mob that'll +Disturb+ your +Peace+
Blowing Sean Jay, all we do is smoke
Finish counting my bread and I was getting some head
What's up?

[Chorus]

[Ludacris]
I'ma be all the way real with this, look
When I came into the game they ain't do nothing but doubt me
Now the whole game's changed and it ain't nothing without me
Picking up my sloppy seconds as they reach for the crown
Only reason you on that song is cause I turned that down
I went from Hot Wheels to big wheels, Hyundais to Bentleys
And five course meals, no more Popeye's and Blimpie's
From alright to handsome, from one room to mansions
From hanging on the block to throwing parties in the Hamptons
From, broke as a joke to rich as a bitch, I bought a
plane and a boat and six other whips, no MARTA
From dice on the curb to stacking up chips, but harder
From birds on my nerves to chicks on my DICK! Guard your
women dawg I went from ashy to classy
Went from a, kiss on the cheek to doing the nasty
Reach your hand up in the air and you can play with the stars
It's not the hand that you're dealt but how you're playing your cards
Boy!
 
Kuna na mawazo positive kuhusu pesa, mafanikio na utajiri wakati huna uwezo wa kufika hatua hiyo ni useless reassurance. Shida kubwa ya makala kama hizi mnalinganisha mtanzania wa kawaida na mtu kama Azam, Mengi sijui nahi wakati hao watu ni mabig fish. It's really unfair comparison!

Tukubali tu kwamba watanzania wengi hatuna start-up capital na elimu ya biashara

Mkuu, Azam na Mengi ni Watanzania wa kawaida. Tafuta historia yao. Walianzia zero. Hakuna lengo mtanzania wa kawaida hawezi kutimiza akiamua. Hata kuwa tajiri Duniani. Elimu na start-up capital ni vikwazo tunajiwekea kwenye maisha lakini kwa kupata utajiri hazina umuhimu kiasi kikubwa ingawaje zinasaidia. Muhimu kuliko zote ni kujiamini ya kwamba tunaweza.
 
Mkuu wewe umefanikiwa kwa kiasi gani? Yaani personal balance sheet yako ipo vipi?
 
Back
Top Bottom