Usiri ajira TISS

Usiri ajira TISS

Usikate tamaa mkuu hiyo kitengo haina umri rasmi. Nawaza kwa sauti.
Endelea kujidanganya, huna mafunzo waliyonayo huwezi kua hao jamaa wewe endelea kuendesha boda boda tu,
Unachokisoma kwenye vitabu kuna wenzio ndio mazingira yao ya kazi ya kila siku. Dunia ni kubwa peke yako huwezi kuijaza mkuu.
Sawa mkuu,
 
Dirisha la usajili la TISS ni UVCCM na JKT sijui ni kweli? Anyway walitakiwa waTangaze kuondoa kupachikana kuna wakati mkuu wa TISS alikuwa mhehe wakajazana WAHEHE KIBAO IDARANI
Acha waendelee kupachikana hadi watiane mimba.
 
Ngoja nikusaidie kitu kidogo mkuu maana naona upo nyuma ya wakati katika baadhi ya mambo. Ipo hivi chombo chochote cha ulinzi kinaweza kumrecruit mtu yeyote kama tu kinamuhitaji hata awe na umri gani. Umuhimu wako katika nafasi husika ndio utakaokubeba mkuu. Hayo mambo ya umri mwisho miaka kadhaa ni kwa kiwango fulani cha elimu. Jitahidi kufugua kichwa boss.
Endelea kujidanganya, huna mafunzo waliyonayo huwezi kua hao jamaa wewe endelea kuendesha boda boda tu,
Sawa mkuu,
 
Ukiona uvccm kapewa privilege,ni aidha TISS au ana mtandao,nilikua Dom kitaaluma 2005, stationary pale jamaa alikua hatoi kopi bila kuisoma document,nikamdhihaki 'au siyo,kila kinachopita tukijue' ..akacheka,yule informer,so Kuna kazi inabidi wapewe wao ili taarifa zisitupite
True
 
Hayo mambo ya umri mwisho miaka kadhaa ni kwa kiwango fulani cha elimu
Bado haujanishawishi mkuu, kwanini mwenye miaka 35+ haruhusiwi kujiunga na jeshi? Ukijibu hilo swali ndio utanielewa nazungumzia nini kinyume na hapo huna cha kunishawishi mkuu,
 
Jeshi halitoi ajira, isiyo ajira na hakuna mshahara lakini wanapata malipo, wanalipwa.

Ukijiunga na jeshi unakua umejiandikisha kulinda na kutetea katiba.
Kulinda mipaka ya nchi etc, ikibidi hata kwa gharama ya uhai wako.

Sasa kuna ajira gani duniani muajiriwa anakuwa tayari kufa? Kama wajua itaje.
 
Daah mkuu naomba tufunge mjadala huu ila naomba utambue sio kila mwananjeshi kazi yake ni kupigana vita.
Mafunzo ya awali hua ni Combat na kujihami na adui mkuu na kumshughulikia adui kwa hio ni mafunzo ya kivita sio mafunzo ya kula pilau, hawaendi kujifunza kupika chapati kule Depo, ushaelewa?
 
ikibidi hata kwa gharama ya uhai wako.
Sio ikibidi ukijiunga jeshi wewe moja kwa moja unakua umesaini mkataba wa kifo, maana unaenda kucheza na vyuma vya moto na vile vyuma vinauwezo wa kukufanyia Mambo mawili pekee ima vitakuua au kukutia ulemavu wa kudumu, ushaelewa mkuu
 
Jeshi halitoi ajira, isiyo ajira na hakuna mshahara lakini wanapata malipo, wanalipwa.

Ukijiunga na jeshi unakua umejiandikisha kulinda na kutetea katiba.
Kulinda mipaka ya nchi etc, ikibidi hata kwa gharama ya uhai wako.

Sasa kuna ajira gani duniani muajiriwa anakuwa tayari kufa? Kama wajua itaje.
Na mwambie kwamba wale wanarenew huo uandikishwaji kila baada ya miaka kadhaa. Kama upo tayari kuendelea kuandikishwa au la.
 
Pia elewa kwamba unajua kile unachotakiwa kujua peke yake. USIKU MWEMA.
Kazi na umri ndio maana umri ukifika hatamu hua wanakabidhi kijiti wenye damu changu waendeleze walipoishia, sio kwamba wao hawajui au namna gani Ila mwili nao unafika pahala unachoka, ni rahisi kumnyoosha msamba mtoto wa miaka 5 au 7 na akifika miaka 10 akawa anapiga msamba mwenyewe tofauti na kumfindisha kupiga msamba kijana mwenye miaka 35+ ni ngumu kwanza atakuona unamchosha tu, ushaelewa nazungumzia nini?
 
Sio ikibidi ukijiunga jeshi wewe moja kwa moja unakua umesaini mkataba wa kifo, maana unaenda kucheza na vyuma vya moto na vile vyuma vinauwezo wa kukufanyia Mambo mawili pekee ima vitakuua au kukutia ulemavu wa kudumu, ushaelewa mkuu
Sasa wengi hawajui hii na hata wakielimishwa hawataki kuelewa, sinui shida nini kama huyo hapo ninaemulekeza.
 
Una weledi au ujuzi gani muhimu unaohitajika sana katika ujasusi?
Ungepewa kazi usalama ungekuwa mzuri katika kitu gani?
Mkuu mimi huwa nina tabia ya kujichanganya sana na watu tofautitofauti na napata taarifa nyingi sana, kwani nina iwezo mkubwa sana wa kusikiliza na kupata taarifa nyingi hasa nikiwa nakula bia zangu
Usikate tamaa mkuu hiyo kitengo haina umri rasmi. Nawaza kwa sauti.
 
Back
Top Bottom