Usiri ajira TISS

Usiri ajira TISS

Rafiki angu mmoja alianza kama Uvccm mpaka leo nae yupo huko. Hua nampima vitu vidogovidogo tu vya uelewa ila ni mweupe. Uchawa na Ccm ni janga la taifa.
Ndio maana twasema kuna kazi zatakiwa zitangazwe, wao waite watu.

Wanaotakiwa kuwa siri ni waohusika na operations. Ila wahasibu kuwaficha si sawa
 
Kuna vitu vinafanywa usiri wakati hajikutakiwa kuwa vya siri, na usiri huu unaofanywa unakuta ni terget tu ya kuweka watu wao wanaowataka, na ndo maana tunapata watu wasio na weledi na wenye IQ ndogo sana kiutendaji yawezekana ni mkakati tu wa mtu. Kinachotakiwa watangaze nafasi za kazi watu waombe lakini mchakato wa kuwachukua waliokidhi vigezo ndo ufanyike kwa siri.
Kuna jamaa fulani nilishangaa naye yumo, kisa baba yake yumo
 
Rafiki angu mmoja alianza kama Uvccm mpaka leo nae yupo huko. Hua nampima vitu vidogovidogo tu vya uelewa ila ni mweupe. Uchawa na Ccm ni janga la taifa.
🐒
20230106_210144.jpg
 
Rafiki angu mmoja alianza kama Uvccm mpaka leo nae yupo huko. Hua nampima vitu vidogovidogo tu vya uelewa ila ni mweupe. Uchawa na Ccm ni janga la taifa.
Hapa Tanzania hatuna usalama wa taifa tunamakachero uchuro. Wanajua kufuatilia sana mtu akitukana kiongozi mpuuzi ila sio kufuatilia uhalifu unaohatarisha usalama wa taifa.
 
Wale mashoga wa Kahama na Babati wamefundishwa na Wamarekani?

Ukimwi ukipotaka kuwamaliza miaka ya 1990's si ilikuwa tabia yenu ya kutomb....hovyo mpaka mkasaidiwa ARVs ilisababishwa na ushoga wa marekani?
Samahani mkuu naomba kukuuliza kama ulishawahi kuwa shoga au wewe bado ni shoga?
 
Usalama taifa mnavyowachukulia mnawapaisha sana.

Hao hadi polisi wana hadhi ya juu kimamlaka, hao ni watumwa wa ikulu na rais aliyepo madarakani.

Ila kiutendaji wapo kila kona.

Wenye nchi yao ni hayo majamaa ya bakabaka ndiyo yaliyopewa nguvu ya ulinzi wa nchi.

Madogo wa usalama wanatishia sana raia wema.
-Wenye nchi ni WA Tanzania wote
- TISS ndio engine ya nchi, kasome sheria ya Tiss utaelewa, hao ndio wenye taarifa zote za nchi, na ndio maana Hata CAG huwa hakagui TISS na Ikulu, làkini CAG anakagua hadi Jwtz na kutoa remarks as to whether kuna hati safi,chafu au yenye mashaka.
-
 
Back
Top Bottom