Usiposoma A-level ni shida chuo kikuu!

Usiposoma A-level ni shida chuo kikuu!

Jamaa yuko correct kiasi fulani japo kashindwa kueleza kiungwana but the truth will remain ..Students wanaotokea Form six wako very well theoretically tofauti na Diploma ambao wako nondo practically zaidi .makundi yote haya tunayahitaji kwani kwa sisi fani za engineering hapo tutagawa Watendaji(Technians) na Academics ..
Technians incase of working with equipments while Academics for the research and suggestions of best ways ..Lakini ukimkuta wa Diploma then degree halafu yupo well theoretically basi ni moto wa kuotea mbali...kinachoniumiza hawa academics hata kutengeneza electronics appliances hawawezi zaidi ya kukomaa na madesa na Lectures wao wanaowakomoa bado tunakazi ktk mfumo wa elimu
 
Kweli naamini ni shida kwa wale waliopita mkato; form iv-college-university kama wewe kabisa uliyepita form vi unaandika kama mtoto wa chekechea tena kiswahili tu kimekupa shida lugha ya malkia wa uzunguni itakuwaje sasa?
NB. Ni lecturer na si lecture kwa kile ulichokusudia kuandika.

Hahahahaha mkuu mpe adabu yake hyo.
 
Ninakubaliana na mtoa mada, especially kwenye swala la kuandika essay, O-level ni kama introduction lakini ukifika E-level essay zinakuandaa vizuri kwa degree level.
 
Mm cjapitia college so sina udhoefu huo ...
 
Usiposoma A-level ni shida chuo kikuu!
Ni kweli kabisa hasa kwa masomo ya sayansi.

Chukulia somo la Fizikia [Chuo mimin niliosomo Physics/Chemistry] katika mada kama ELECTRONICS, QUANTUM PHYSICS.

Lazima ukimbie.
 
Ukikua utaacha hiv ww unaenza degree umetoka form six na anaenza degree alietoka diploma na form 4 yake Nan walau ana idea ya hyo degree... Afu mwenzio unawezakuta baadhi ya masomo hasomi mwaka kwanza... Alishoma akiwa diploma..
Inategemea hao wanachuo husika wanasoma masomo gani/ course gani. Mleta mada hoja yake ni kweli kwa baadhi ya masomo ya chuoni.
Mfano chukulia wote wanasoma BED Science.
- Huyu aliepitia Diploma atamudu zaidi masomo ya Education
- Wakati huyu aliepitia kidato cha sita atafanya vyema kwenye CORE subject kama Physics, Chemistry, Mathematics.
 
njoo na F6 yako DIT uone kama ujaomba kuhamia CBE

Acha kutisha watu topic gani ya form four inaingia kwa topic ya form six? Ukiwa na form six ni advantage kubwa sana hasa kwa walio soma phy/maths
 
Acha kutisha watu topic gani ya form four inaingia kwa topic ya form six? Ukiwa na form six ni advantage kubwa sana hasa kwa walio soma phy/maths

Njoo DIT kma hyo chemistry yako itakusaidia utaanza mweupee tena f6 huwa wanasoma masomo sawa na first year diploma. Kijna kama utasoma Education ndo f6 itakusaidia but nt Engineering
 
Njoo DIT kma hyo chemistry yako itakusaidia utaanza mweupee tena f6 huwa wanasoma masomo sawa na first year diploma. Kijna kama utasoma Education ndo f6 itakusaidia but nt Engineering

Phy/maths hauoni hapo? Wewe si D.I.T diploma iko ya a in a moja hapo kwenu? Interms of duration?
 
Ukikua utaacha
Tulio pita chuo huku tunakimbiza tuuu hadi tunawaonea huruma
 
DIT diploma ni 3yrs ambapo unasma module zaidi ya 60 alaf ukiingia bachelor unaendelezea kwa undani kidogo. sasa wale wanaotoka f6 huwa wanasoma miaka 4 mwaka wa kwanza wanasoma jujuu module walizosoma diploma kwa miaka 3 then wakiingia mwaka wa 2 ndo wanakutana na diploma sasa apo ndo utajua umuhimu wa diploma
 
DIT diploma ni 3yrs ambapo unasma module zaidi ya 60 alaf ukiingia bachelor unaendelezea kwa undani kidogo. sasa wale wanaotoka f6 huwa wanasoma miaka 4 mwaka wa kwanza wanasoma jujuu module walizosoma diploma kwa miaka 3 then wakiingia mwaka wa 2 ndo wanakutana na diploma sasa apo ndo utajua umuhimu wa diploma

Dogo acha kudanganya kumbe wewe ukijui chuo chako sifa ya kusoma diploma ni kuwa na average ya c lkn kigezo cha MTU kusoma degree yule wa form six yeye atasoma miaka 4 sasa wewe uliyepata diploma na form four unajua utasoma miaka mingapi iliupate degree yako?
 
Ukikua utaacha hiv ww unaenza degree umetoka form six na anaenza degree alietoka diploma na form 4 yake Nan walau ana idea ya hyo degree... Afu mwenzio unawezakuta baadhi ya masomo hasomi mwaka kwanza... Alishoma akiwa diploma..

Alishoma!!! Nshomile
 
Dogo acha kudanganya kumbe wewe ukijui chuo chako sifa ya kusoma diploma ni kuwa na average ya c lkn kigezo cha MTU kusoma degree yule wa form six yeye atasoma miaka 4 sasa wewe uliyepata diploma na form four unajua utasoma miaka mingapi iliupate degree yako?

nlisoma diploma na sasa nipo BENG 14 apa DIT so najua nachoongea ukimaliza diploma bachelor ni 3yrs badala ya 4 apa DIT,MUST,ATC labda usome diploma course nyingine then BENG usome course tofaut na ya diploma eg. Diploma ukiwa umesoma CIVIL ENGINEERING then bachelor ukasoma ELECTRICAL ENGINEERING Apo utasota miaka 4 but kama ukisoma the same course from OD to BENG then bachelor inakuwa ni miaka 3.
diploma 3yrs + BENG 3 yrs ==6yrs
f6 2yrs + BENG 4Yrs == 6yrs
so hakuna utofauti wa miaka sana sana wa diploma anakuwa na advantage ya kujua vitu vingi na kwa wajanja wanakula kitabu huku wanapiga PESA.
 
Kuna vyuo ndo watatesa Ila sio DIT apa ni mwisho wao wanapukutika kama majani kipindi cha kiangazi !!!
 
Back
Top Bottom