baruti170
JF-Expert Member
- Jun 24, 2014
- 554
- 397
Tatizo sio F6 au F4.Daaa, kweli A-level ndo kila kitu lecture yuko fasta anaamin wote ni wametoka f6 ni shida kwa waliotokea f4 afu cheti afu diploma kwa michipuo ya science.
Tatizo ni IQ yako ww.
Uwez ukaingia chuo certificate,diploma adi degree .ulalamike lecturer yuko fasta.
Kama uelewi achana nayo fanya mengine.
wangapi chuoni na F6 zao wanakimbizwa ile ile tu.
Au kk chuoni kwenu walikwambia uende na living certificate tu.