Amon Mtekateka
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 1,225
- 333
mmmh! vijana na elimu zao za siku iz za uchwara
Upo chuo gani?
hongera!
Hajui kwamba hata hao wenye Diploma kuna ambao walipita A-level pia kuna wengine kama wale waliosoma Diploma miaka ya 2005 kurudi nyuma wengi wao wana vyeti vimeshiba sema those days vyuo vilikuwa vichache ikabidi wakachukue Diploma maana siku hizi mtu ana D E E anaingia chuo kikuu wakati those days kwa marks hizo mtu wala ahangaiki kutafuta chuo kikuuDogo nina wasiwasi na Trend ya elimu yako hujakutana na changamoto. Please jipange usijerudi home huku ulishafika chuo kikuu. Form 6 is nothing to university. That is only a shortcut. Mtu aliyepitia diploma atakupita vizuri ukiendelea kuleta huko kujiamini kwako. Ushauri tu
daaa kweli A-level ndo kila kitu lecture yuko fasta anaamin wote ni wametoka f6 ni shida kwa waliotokea f4 afu cheti afu diploma kwa michipuo ya science.
daaa kweli A-level ndo kila kitu lecture yuko fasta anaamin wote ni wametoka f6 ni shida kwa waliotokea f4 afu cheti afu diploma kwa michipuo ya science.
mijadala ya BRN ukimpa mtihani akeshe nao kesho ataingia na majibu kwenye paja hovyooo
Ni kweli kipusi, shule ya University kama hujapitia A.Level utatumia msuri sana.
Daaa, kweli A-level ndo kila kitu lecture yuko fasta anaamin wote ni wametoka f6 ni shida kwa waliotokea f4 afu cheti afu diploma kwa michipuo ya science.
Kama unasoma afya kakae na clinical officer mfanye MD wote uone moto wake, kama unasoma civil engineering degree kaa na mwenye diploma aliyesota barabarani miaka 5 uone moto wake! Usiropoke tu usichokijua dogo. Kuanzia chini inakupa knowledge nzuri ya professional yako! Ukitaka kulijua hilo subiri mfike mwaka kuanzia wa pili uone utakavyopelekwa.