Majanga. Pesa yako,ununue gono? Si bora ukazame mitaani,supu, pair za kwa Mbasha meat supply na kwingineko zikuone😂 😂 😂 😂
na Mvua hizi, tegemea nyuzi za kunasa Gono kule Afya Jamii kwa wingi
Uko Basata mkuu!si kwa mistari hiiMapenzi hayaendeshwi kwa risala, kuna gharama haziepukiki. Ila kuna wale wanavuka mipaka mpaka inakuwa kibiashara.
Cha kufanya ongeza kasi ya kuomba namba mpaka upate wa kufanana nae.
#usitishike #jiamini #pigachiniwasumbufu #dunianiyetu #maishamafupi #sisindiosisi #usiishikinyonge #misimamomuhimu #balansishobo #tutafutepesa #achakufurahishawatu #wekamipaka
Naunga mkono hojaHabar za muda huu ndugu zangu,...Kwa tulipofikia sasa, usijaribu kumuomba namba mwanamke Kwa lengo la utani au kujaribu kutest zali...na ukijaribu kufanya hivyo bas ujue atakuganda Hadi ujute kwann ulichukua namba...yake
😂niliomba namba usiku usiku umeme ukiwa umekatika hata sura sijamuonq vizuri..
asubuhi tu saa moja ananiomba elfu 10 aende hospitali eti anaumwa..
nikamwambia najiandaa nikupeleke mwenyewe hospital akakataa kata kata yeye anataka Pesa tu qumamake..
Mzee Bora ujidronedrakeNdo maana me sitaki demu
Bora niji dronedrake au nicheze game
Kabisa🔨🏃🏿Mzee Bora ujidronedrake