Usiombe namba ya mwanamke Kwa lengo la masihara

Mapenzi hayaendeshwi kwa risala, kuna gharama haziepukiki. Ila kuna wale wanavuka mipaka mpaka inakuwa kibiashara.

Cha kufanya ongeza kasi ya kuomba namba mpaka upate wa kufanana nae.
#usitishike #jiamini #pigachiniwasumbufu #dunianiyetu #maishamafupi #sisindiosisi #usiishikinyonge #misimamomuhimu #balansishobo #tutafutepesa #achakufurahishawatu #wekamipaka
 
Mapenzi hayaendeshwi kwa risala, kuna gharama haziepukiki. Ila kuna wale wanavuka mipaka mpaka inakuwa kibiashara.

Cha kufanya ongeza kasi ya kuomba namba mpaka upate wa kufanana nae.
#usitishike #jiamini #pigachiniwasumbufu #dunianiyetu #maishamafupi #sisindiosisi #usiishikinyonge #misimamomuhimu #balansishobo #tutafutepesa #achakufurahishawatu #wekamipaka
Uko Basata mkuu!si kwa mistari hii
 
Habar za muda huu ndugu zangu,...Kwa tulipofikia sasa, usijaribu kumuomba namba mwanamke Kwa lengo la utani au kujaribu kutest zali...na ukijaribu kufanya hivyo bas ujue atakuganda Hadi ujute kwann ulichukua namba...yake
Naunga mkono hoja
Hali imeiva sana huku uraiani
 
Back
Top Bottom