Usiombe kumuona mgonjwa wa COVID19

Binafsi nimewahi ona video ya mgonjwa wa Corona akiwa ICU ambae alikuja kufariki.

Kwakweli ni mateso kwa jinsi mgonjwa anavyo-struggle kupumua mpaka umauti unamkuta.

Kilichoniumiza zaidi ni mgonjwa alie mahututi kuwekea kijiti mdomoni ili asing'ate ulimi. Hakika watu wanaofanya kazi ICU nimewaheshimu.

Ukifikiri sana swala la kifo, unaweza kuona ni bora kutokuzaliwa kabisa.
 
Kumuona ushamuona / ushawaona tatizo wengi hawaonyeshi dalili na hii ni mbaya sana sababu unauchukua kwake alafu wewe ndio unakupiga kisawasawa....
 
Binafsi nimewahi ona video ya mgonjwa wa Corona akiwa ICU ambae alikuja kufariki.

Kwakweli ni mateso kwa jinsi mgonjwa anavyo-struggle kupumua mpaka umauti unamkuta.

Kilichoniumiza zaidi ni mgonjwa alie mahututi kuwekea kijiti mdomoni ili asing'ate ulimi. Hakika watu wanaofanya kazi ICU nimewaheshimu.

Ukifikiri sana swala la kifo, unaweza kuona ni bora kutokuzaliwa kabisa.
Mkuu para ya mwisho mie huwa nikifikiria why tunazaliwa tunakufa tena. Pia nikawazaga navyoumia kuhakikisha life linasonga mpaka naogopa kuzaa kuwa hivi na mwanangu atakujaga kusafa kama navyosafaga ama.
Pia ni nini mana ya kuzaliwa kama baadaye tunakufa lakini.
 
Mkuu para ya mwisho mie huwa nikifikiria why tunazaliwa tunakufa tena. Pia nikawazaga navyoumia kuhakikisha life linasonga mpaka naogopa kuzaa kuwa hivi na mwanangu atakujaga kusafa kama navyosafaga ama.
Pia ni nini mana ya kuzaliwa kama baadaye tunakufa lakini.
Tena unakufa kifo cha mateso ambayo sometimes ni mateso makali na ya muda mrefu.
 
Magu alifanikiwa kuondoa wasiwasi wa watu juu ya corona maisha yakaendelea tukafanya hadi uchaguzi bila wasiwasi wowote,ila naona sasa naona watu wanarudisha ule wasiwasi na hofu kwa kasi. Ubaya ni kwamba hizi hofu haziendani na kiwango cha tahadhari tunachopaswa tuchukue.
 
Hapa unaelezea mgonjwa wa kupumua. Hicho ni kimojawapo tu ya dalili nyingi za hili gonjwa. Na kwenye upumuaji hapo ndipo panapoua watu. Inawezekana umeshaona wengi tu wanatembea wakiwa na maambukizi ila hayakufikia kwenye mapafu.
 
Magu alifanikiwa kuondoa wasiwasi wa watu juu ya corona maisha yakaendelea tukafanya hadi uchaguzi bila wasiwasi wowote,ila naona sasa naona watu wanarudisha ule wasiwasi na hofu kwa kasi. Ubaya ni kwamba hizi hofu haziendani na kiwango cha tahadhari tunachopaswa tuchukue.

Magu hakufanikiwa chochote ,Kuanzia June -Hadi Oct Dipotivo inashuka inaanza tena Nov hadi may mwishoni....GoT inabidi ikubali chanjo tu hakuna namna.

Huku kwetu ndani ya wiki ,tumepata misiba minne,sehemu niliyokulia misiba kama 6 ,kwenye magroup misiba mi5....Online Facebook ndio usiseme kibao tu zaidi ya 15....Ukija JF kila mtu anajua tumepumzika jana na leo tu.
 
Magu hakufanikiwa chochote ,Kuanzia June -Hadi Oct Dipotivo inashuka inaanza tena Nov hadi may mwishoni....GoT inabidi ikubali chanjo tu hakuna namna.

Huku kwetu ndani ya wiki ,tumepata misiba minne,sehemu niliyokulia misiba kama 6 ,kwenye magroup misiba mi5....Online Facebook ndio usiseme kibao tu zaidi ya 15....Ukija JF kila mtu anajua tumepumzika jana na leo tu.
Mkuu misiba huwa siku zote ipo tofauti ni kwamba sasa hivi kwa sababu ya corona basi tumekuwa mara nyingi tunahusisha hivyo vifo na corona wakati mwengine hata inaweza isiwe corona,hata hivyo nilichokuwa nakusudia kufanikiwa kwa Magufuli ni katika kuondoa watu hofu kitu ambacho kwa wakati ule ilikuwa inaelekea pabaya zaidi ya hiyo corona yenyewea.
 
Ugonjwa huu unatisha sana Mkuu na baadhi wanakuwa hawarudi tena kwenye afya zao za awali hawajui kuongea, kutembea au hata kula! Inatisha sana Mwenyezi Mungu atunusuru. Mimi wiki sasa nimeanza kupiga masks 2 baada ya kuwasikia wataalamu wakishauri hivyo.
Hili gonjwa lipo na siku ukibahatika kumuona mgonjwa wa COVID19,utataka siku hiyohiyo uchanjwe chanjo yake.

Kama hujaona ndugu yangu basi omba usione wewe kubali kuchanjwa tu siku ikifika uachane na siasa.
 

Hili gonjwa lipo na siku ukibahatika kumuona mgonjwa wa COVID19,utataka siku hiyohiyo uchanjwe chanjo yake.


Kama hujaona ndugu yangu basi omba usione wewe kubali kuchanjwa tu siku ikifika uachane na siasa.
42B30712-25F1-4301-9B6E-81EDF25A96AF.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom