Jandaruma
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 527
- 480
Kuna MUMA huu uhusishwa mkungu wa ndizi kwenye mgomba haukatwi hufanywa hasa kwenye mgomba aina ya kipukusa mkungu huachwa tu ila kila ndizi itakayo iva na kudondoka basi huondoka na mtu na unapo dondoka mgomba mzima jawabu utalipata je! umesha fanya tasmini vifo vinavyo husisha familia nzima au ukoo mzima tena mfululizo ni nini kilicho nyuma ya pazia?Hili ni aina ya mabomu yale yanayobeba sumu endelevu halina tofauti na kuvunja chungu kisha kuwawekea watu kwenye maji.. Mauaji ya halaiki