Usiogope mabaki hayana madhara tena

Usiogope mabaki hayana madhara tena

Haya matakataka ya kichawi, nguvu za kiza, mizimu sjuwi na nini ni ushenzi mtupu!
HAHAHAA! HATA MIMI NILIKUWA NA MAJIGAMBO NA TAMBO NZITO ZAIDI YAKO NDIPO NILIPO JIKUTA NAINGIA VITANI NA WACHAWI ILA TAMBUA ELIMU YA UCHAWI IMEJIFICHA SANA PIA INAKUWA SANA KADIRI MIAKA INAVYO KWENDA MFANO KUPAA KWA UNGO HUU NI UCHAWI WA KIZAMANI ULIYOPITWA NA WAKATI HAHAHAAA! JE UNAJUA KAMA KUNA AIR DRONE ZA KICHAWI NA ZINAFANYA KAZI ZAIDI YA ZAWAZUNGU?
 
Kuna mabandiko naogopa kuyaweka humu kule facebook niliweka baadhi ya mabandiko kwa kutumia TAFSIDA bahati haikuwa njema kwangu pale nilipo andika profile yangu kuwa nafanya kazi ya uchawi kwa kutumia namba ila profile niliiandika kwa kizungu walivyo itafsiri marafiki wengi walinitenga na kunikimbia kabisa mbaya zaidi post zangu nyingi kule fb zikawa zikishabihiyana na matukio makubwa yaliyo tokea ndiyomaana naogopa kuweka mabandiko humu yasije yakajirudia yaleyale, hahahaa ipo siku naweza kuweka bandiko la uchawi wa kutumia namba
 
Kuna mabandiko naogopa kuyaweka humu kule facebook niliweka baadhi ya mabandiko kwa kutumia TAFSIDA bahati haikuwa njema kwangu pale nilipo andika profile yangu kuwa nafanya kazi ya uchawi kwa kutumia namba ila profile niliiandika kwa kizungu walivyo itafsiri marafiki wengi walinitenga na kunikimbia kabisa mbaya zaidi post zangu nyingi kule fb zikawa zikishabihiyana na matukio makubwa yaliyo tokea ndiyomaana naogopa kuweka mabandiko humu yasije yakajirudia yaleyale, hahahaa ipo siku naweza kuweka bandiko la uchawi wa kutumia namba
Mungu!
 
Kuna mabandiko naogopa kuyaweka humu kule facebook niliweka baadhi ya mabandiko kwa kutumia TAFSIDA bahati haikuwa njema kwangu pale nilipo andika profile yangu kuwa nafanya kazi ya uchawi kwa kutumia namba ila profile niliiandika kwa kizungu walivyo itafsiri marafiki wengi walinitenga na kunikimbia kabisa mbaya zaidi post zangu nyingi kule fb zikawa zikishabihiyana na matukio makubwa yaliyo tokea ndiyomaana naogopa kuweka mabandiko humu yasije yakajirudia yaleyale, hahahaa ipo siku naweza kuweka bandiko la uchawi wa kutumia namba
Sioni sababu ya kuwa na hofu.. Mwanzoni nilifanya hofu lakini baadae nikavunja nira zake na sasa nipo huru
 
Hahaha sasa hawawachungaji hutolea mapepo kanisani halafu hawayaambii yaende wapi si mabalaa hayo, likimtoka mtu likakuparamia si inakuwa shughuli?! Ukute ni la ngono, unajikuta unaanza kutongoza wapendwa kanisani. Mi ndio maana naenda sabato na katoriki hakuna kutoana mapepo hahaha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
HAHAHAA! HATA MIMI NILIKUWA NA MAJIGAMBO NA TAMBO NZITO ZAIDI YAKO NDIPO NILIPO JIKUTA NAINGIA VITANI NA WACHAWI ILA TAMBUA ELIMU YA UCHAWI IMEJIFICHA SANA PIA INAKUWA SANA KADIRI MIAKA INAVYO KWENDA MFANO KUPAA KWA UNGO HUU NI UCHAWI WA KIZAMANI ULIYOPITWA NA WAKATI HAHAHAAA! JE UNAJUA KAMA KUNA AIR DRONE ZA KICHAWI NA ZINAFANYA KAZI ZAIDI YA ZAWAZUNGU?
Kwanin sas wasiweke tu hadharani watu tufaidike?
 
home.php
 
Back
Top Bottom